Kutoka Njombe jimbo la makambako. Kituo cha Ikando. Hali ni shwarii kabisa watu wamepanga foleni toka saa 11. Wana hamasa kubwa ya kutekeleza haki yao ya kikatiba. Vijana ni wengi na wametulia wakisubiri kuchinja..........
Kutoka 9jombe jimbo la makambako. Kituo cha Ikando. Hali ni shwarii kabisa watu wamepanga foleni toka saa 11. Wana hamasa kubwa ya kutekeleza haki yao ya kikatiba. Vijana ni wengi na wametulia wakisubiri kuchinja..........
Wanabodi!
Heri ya mwaka mpya, taarifa nilizozipata kutoka chanzo cha kuaminika ni kuwa kampuni ya shamba la miti ya miwati (TANWAT) ambayo awali ilikuwa inamilikiwa na CDC (uingereza) na baadae kuuzwa kwa RAI group (INDIA) wamiliki wa mufindi paper mill MPM awali SPM.
Hali si shwari kwan...
Ajira kwa vijan kwani yeye ndo kaona tatizo leo? Ninavyofaham yeye kama mwkilishi wa wananchi ameishauri nini serikari au hata raisi rafiki yake. Nothing wizi tu... What a prezda fisad aiyekuwa na aibu. With me mchango wake tumeupokea but for u prezda ashindwe kwa jina la yesu
ni kweli kabisa kuwa lowasa ni fisadi na hili halina shaka, lakini hapo kwa huyo mzee kunyang'anywa shamba lake, tatizo ni sheria yetu ya ardhi inampa mamlaka makubwa sana rais (serikari) kumiliki ardhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.