Hivi kumbe wabunge wa ccm huchaguliwa ma ccm na c wananchi? Kweli bado sana. Huo ujimga wa kulinganisha nchi zilizoendelea kama marekani na tz ni utumwa
Shikamoni wakubwa wote, na wadogo mambo? Mimi ni kijana nasoma kidato cha sita, nilishawahi kuwa na mpenzi nikiwa o level kwa bahati nzuri au mbaya ujana ulimzidi tukaachana nikawa nimeamua kuachana na habari hizo na kukomaa na shule. Kwa sasa natamani kuwa na mtu lakini bado nahic inawezb tokea...
mimi naona siri zinaweza kujenga au kubomoa kutokana na uelewa na mipango ya mtu anayelengwa. Mfano, mtu mwingine anapenda kuambiwa wakati mwingine hapendi
Ndugu yangu Mtwara wanachokitaka ni kuendeleza na kuhimiza mgawanyo sawa wa rasilimali ambao utapelekea kukua kwa uchumi sawa pande zote za nchi. Wewe unataka watu wote tuhamia Dar? Unadhani wote tutatosha? Tumia elinu yako kuchanganua hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.