Recent content by meku7

  1. meku7

    Rey Mysterio......!!!!

    Nashukuru Mr mshana kwa kunielewesha.... unajua mimi ni kijana mdogo am stil learning.....
  2. meku7

    Rey Mysterio......!!!!

    Si amini kama maneno hayo umetamka Mshana jr... mimi nilihisi kuwa wewe n mtu mzima/baba jinsi yako ni ya Kiume... ni miongoni mwa watu ninao waheshimu sanaa humu Ndani.. sijui kwa nini ume type maneno hayo.
  3. meku7

    Nimeumbwa niwe single?

    Khaaa salt 30 ndo atafute mchumbaa
  4. meku7

    Mbunge Msabaha (CHADEMA): Baadhi ya wabunge vijana ni Mateja

    Msisahau Rais ni mwenyekiti wa chama . Anayesimamia uteuzi na upitishwaji wa majina ya wabunge... so n vema kamta hadharisha... 2019 si mbali.....
  5. meku7

    Nahitaji Kijana wa Kupika Chips

    Hahaaaaaaaa mchoma chipsi/mkaanga'aaaaaa
  6. meku7

    Daktari amshauri akafanye mapenzi kama tiba

    Hahaaaaaa una utaniiiiii
  7. meku7

    Daktari amshauri akafanye mapenzi kama tiba

    Je solution ya ugonjwa wake ni nini?
  8. meku7

    Daktari amshauri akafanye mapenzi kama tiba

    Mkuu mimi nina mchumba mwaka wa 3 sasa.. Tunaplan za kufunga ndoa this year inshaallah ..
  9. meku7

    Daktari amshauri akafanye mapenzi kama tiba

    Sikukuelewa ila nitampa asome coment zenu... coz ni frnd wangu tunakutana kwenye harakati za kila siku.
  10. meku7

    Daktari amshauri akafanye mapenzi kama tiba

    Asalam wana Member wote, Kuna kijana(Me) ana umri wa miaka 25, tangu azaliwe hajawahi kufanya tendo hilo, ni mhitimu wa chuo kikuu kimoja wapo hapa Dsm. Baada ya kusumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na tumbo. Jana alienda kuonana na Doctor baada ya kumueleza tatizo lake, Dr alimshauri tiba...
  11. meku7

    Breakfast kigetogeto....!!!!

    Chapati hazikaangwiii mkuu zinachomwa
Back
Top Bottom