Si amini kama maneno hayo umetamka Mshana jr... mimi nilihisi kuwa wewe n mtu mzima/baba jinsi yako ni ya Kiume... ni miongoni mwa watu ninao waheshimu sanaa humu Ndani.. sijui kwa nini ume type maneno hayo.
Asalam wana Member wote,
Kuna kijana(Me) ana umri wa miaka 25, tangu azaliwe hajawahi kufanya tendo hilo, ni mhitimu wa chuo kikuu kimoja wapo hapa Dsm.
Baada ya kusumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na tumbo.
Jana alienda kuonana na Doctor baada ya kumueleza tatizo lake, Dr alimshauri tiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.