Hiyo nchi ina idadi ya watu wangapi? Idadi yao sasa na sisi, mbona mi naona sources yao ya mapato ni ndogo kuliko sisi na bado wanatupa misaada, yaani bandari, airport na ukulima wa mbogamboga? Sisi tumelogwa nani? Kwa sababu sisi tuna vitu lukuki MF utalii,, madini, bandari, nk na bado maskini?