Recent content by Megadoni

  1. M

    Msaada jamani kwa anaye ijua shule ya same boys high school....

    i was just asking if the the school is full equiped with all facilities needed plus enough teachers
  2. M

    Msaada jamani kwa anaye ijua shule ya same boys high school....

    Vipi kuhusu teaching facilities na walimu?
  3. M

    Msaada jamani kwa anaye ijua shule ya same boys high school....

    Thanks brother!! Na vipi kuhusu historia yake ya kitaaluma?
  4. M

    Msaada jamani kwa anaye ijua shule ya same boys high school....

    Ni vyema kuyafahamu mazingira mapema....mimi sijawahi kufika huko kilimanjaro hata mara moja. Napenda kuijua mapema ili kama ni kuhama nianze kujipanga mapema
  5. M

    Msaada jamani kwa anaye ijua shule ya same boys high school....

    Nimechaguliwa shule ya same boys high school comb ya PCM......Naomba anayeifahamu mazingira yake anijuze tafadhali
  6. M

    LIVE: Arsenal VS Bayern Munchen...

    Jamani mwenye link anisaidie niicheki naona huku kuna mushkeli
  7. M

    Kwa muktadha huu "URAIS" ni wa CCM 2015...

    Pamoja dada asha Dii
  8. M

    Hivi kwanini kila Mtangazaji sasahivi amegeuka kuwa mwanasiasa??!

    waulize PJ na KIBONDE!nafikiri wana majibu majibu mazuri yakukupa
  9. M

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    Kweli kabisa nimeiangalia video yake YOUTUBE!!. . .lakini imenishinda kui upload humu!!huyu jamaa ni mchochezi vibaya mno!!. . . achunguzwe huyu mtu
  10. M

    Nape: Chadema wanatabia ya nguruwe ya kula watoto wake

    vijana wa gongolamboto wananipa raha sana!!. . . .NAPE kamwaga pesa kinoma!!!!watu wamemchezea kiini macho kwa kuigiza kujiunga CCM!!!!....looh!
  11. M

    CHADEMA Yaigaragaza CCM Mbozi kwenye Uchaguzi Mdogo

    hakuna hawezae kuzima mapinduzi!!
  12. M

    Habari!!

    Habari zenu wanajamvi!!nipokeeni jamani!!
Back
Top Bottom