Kama 10.million unapata faida 500k kwa siku..kwa nin usiombe mtaji mdogo wa 2.5M ambao utakupa faida ya 125k kwa siku(kwa hesabu zako ulizoandika apo kwenye 10.M)..nna uhakika mtaji utafika hyoo 10.M unavyotaka ndani ya muda mfupi tu...kirahisirahisi tu mtu aweke 10.M yake,wew unayo hyoo pesa apo??.
Now we main purchase those products:
1.Name of the Product : zinc
(1) zinc ore ≥40%
(2)zinc concentrate ≥45%,sulfur≥ 25%
Sulfide or oxide both ok
As<0.6%,Cl<0.5%,Cd<0.3%, Hg<0.06%,F<0.1%
size≤10mm(within 10 mm)
2. Name of the Product : copper
(1)copper concentrate ≥ 15%
(2)copper ore ≥ 10 %...
Kwa maelekezo haya wewe ndo unaonekana bado unawafuatilia au umejuaje wao wanakufuatilia...kama umejitenga jitahidi usitake kujua ata wao wanfanya/watafannya nini juu yako yaan assume kama hakuna viumbe kama hao uliwajua zamani
For your information, dangote amekopa pesa isiyozidi USD 5.5B...hizo pesa ulizosema wametoa/wamekopa shareholders wengine.. hawezi kopeshwa hyo pesa yote dangote kwa uwezo wake.. taratibu za mikopo taasisi kubwa zina mengi na utaratibu wake,kajifunze boss
Nimejaribu kusoma comments nyingi mpaka sasa lakini nahisi wengi hawajui wanachoandika kwenye hii maada..USD 42B kwa uchumi wa nchi yetu nani wa kukupa hizo pesa, wengine wanasema dangote kakopa USD 18B for oil refinery,uyo dangote mwenyewe utajiri wake na mali zake hajafika huo utajiri nani wa...
Umeeleza vizuri ila number 2 nakataa..kati ya nchi tatu zenye economy stability kubwa duniani japan huiwezi kuikosa,sema japan walibadili katiba yao kujihusisha mambo ya vita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.