Recent content by meezy

  1. M

    Tanzania ipo juu kwa utajiri wa rasilimali kuliko UK according to chatgpt, Hivi hii kitu ni kweli?

    Utajiri ni akili boss..hizo rasilimali bila akili ni mzigo tu
  2. M

    Natafuta Mwekezaji wa Milioni 10+ Kwenye Crypto Trading. Mtaji Unakaa Kwenye Akaunti Yako (Self-Custody). Lengo: Hadi Tsh 500,000 kwa Siku

    Kama 10.million unapata faida 500k kwa siku..kwa nin usiombe mtaji mdogo wa 2.5M ambao utakupa faida ya 125k kwa siku(kwa hesabu zako ulizoandika apo kwenye 10.M)..nna uhakika mtaji utafika hyoo 10.M unavyotaka ndani ya muda mfupi tu...kirahisirahisi tu mtu aweke 10.M yake,wew unayo hyoo pesa apo??.
  3. M

    Uzi maalum: Madini, gesi na mafuta 2025 - 2050

    Now we main purchase those products: 1.Name of the Product : zinc (1) zinc ore ≥40% (2)zinc concentrate ≥45%,sulfur≥ 25% Sulfide or oxide both ok As<0.6%,Cl<0.5%,Cd<0.3%, Hg<0.06%,F<0.1% size≤10mm(within 10 mm) 2. Name of the Product : copper (1)copper concentrate ≥ 15% (2)copper ore ≥ 10 %...
  4. M

    Inasikitisha kanisa katolilki nalo limeingia kwenye kundi la makanisa ya mchongo; ushahidi huuu hapa!

    Wewe ni mwanamke au mwanaume??.hao katoliki walikulazimisha uamini wao au wewe ndo ulijilazmisha kuwaamini wao??.
  5. M

    Tazameni Msafara wa RC Singida ,ni zaidi ya ufujaji wa Kodi za Watanzania, Hawa ndio CCM,ni lazima iondoshwe madarakani ili Taifa Liinuke

    shida nyingne ukiwatoa hao CCM,utamuweka nani au hawa ambao leo wametangaza kuhama chama
  6. M

    Mambo makuu unayotakiwa kufanya pale unapohisi kutengwa na wazazi, ndugu na marafiki

    Kwa maelekezo haya wewe ndo unaonekana bado unawafuatilia au umejuaje wao wanakufuatilia...kama umejitenga jitahidi usitake kujua ata wao wanfanya/watafannya nini juu yako yaan assume kama hakuna viumbe kama hao uliwajua zamani
  7. M

    Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

    Kwa hiyoo unataka kusema wewe na mkenda..wewe ndo upo sawa kuja kumkosoa apa ila mkenda ndo amekosea??.
  8. M

    Gari aina ya TOYOTA DCM kama wameshindwa kutoa new version itakayoendana na wakati, zitolewe katikati ya jiji la Dar

    DCM na Toyota ni kampuni mbili tofauti,mkataba uliisha muda mrefu uliopita..DCM wakaenda Korea,hyoo New version ya hizo haitatokea tena
  9. M

    Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

    For your information, dangote amekopa pesa isiyozidi USD 5.5B...hizo pesa ulizosema wametoa/wamekopa shareholders wengine.. hawezi kopeshwa hyo pesa yote dangote kwa uwezo wake.. taratibu za mikopo taasisi kubwa zina mengi na utaratibu wake,kajifunze boss
  10. M

    Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

    U Unaujua utajiri wa dangote kiasi gani na una uhakika anaweza kukopeshwa hyoo pesa...ushapitia taasisi wanaotoa mikopo kiasi hiko vigezo vyao??.
  11. M

    Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

    Nimejaribu kusoma comments nyingi mpaka sasa lakini nahisi wengi hawajui wanachoandika kwenye hii maada..USD 42B kwa uchumi wa nchi yetu nani wa kukupa hizo pesa, wengine wanasema dangote kakopa USD 18B for oil refinery,uyo dangote mwenyewe utajiri wake na mali zake hajafika huo utajiri nani wa...
  12. M

    Kati ya elimu na afya kipi kitolewe bure na serikali?

    Afya ndo utajiri number moja duniani kwa binadamu teyote yule...sasa apo kwenye maada yako chagua wewe kipi bora kiwe buree
  13. M

    Kwanini India nchi tajiri lakini huwa haijihusishi na mambo ya Mashariki ya kati kama matajiri wenzake?

    Umeeleza vizuri ila number 2 nakataa..kati ya nchi tatu zenye economy stability kubwa duniani japan huiwezi kuikosa,sema japan walibadili katiba yao kujihusisha mambo ya vita
  14. M

    Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini?

    Jibu ni hivi ulivyovitoa apa "Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini"
Back
Top Bottom