Recent content by meezy

  1. M

    JamiiForums Tanzania shamba la hekari 114(sqm 463801) linauzwa ruvu kitonga

    Yeye mwenyewe hawezi kupost
  2. M

    JamiiForums Tanzania ⚽ Kozi ya Uchambuzi wa Mpira wa Miguu – Jifunze Kuchambua Mechi Kama Mtaalamu

    Hyoo course ungeifundsha taifa Stars sasa tungekuwa tupo hatua ya mtoano kombe la dunia au kama kachukue timu,tuone uwezo wako then itangaze hii course yako... utapata wanafunzi mpaka utakmbia mwnyewe
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nina leseni ya uchimbaji wa madini natafuta mwekezaji ambaye hana tupige kazi

    Umeandika kienyeji mnoo...hyoo ni PL au PML ya madini gani??.ipo wapi?? .umefanyia exploration au
  4. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO yatolea ufafanuzi wa Kero zilizowasilishwa na Wadau kutoka JamiiForums, hatua za maboresho zimechukuliwa

    Kama mngejua mliyofanya mtaani msingetoa hilo tangazo..mpo teyari kulipa fidia mliyofanya??.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Air Tanzania (ATCL) wanaogopa kuliweka shirika lake kwenye Hisa DSE?

    Boss jamiiforum kila mtu mjuaji ila ATCL ni 100% state-owned kama unavyoona Qatar airways..tusifananishe na precision(private company)
  6. M

    JamiiForums Tanzania Biashara Yako Bado Haina Website? Wateja Wengi Wanakutafuta Mtandaoni na Hawakupati! Website Kamili Kwa Tsh 300,000 Tu (Domain + Hosting Vimejumuishwa

    Website sasa hivi AI inatengeneza kla namna unavyotaka iwe..jana kuna mdau katengneza ndani ya dakika kadhaa tu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania ipo juu kwa utajiri wa rasilimali kuliko UK according to chatgpt, Hivi hii kitu ni kweli?

    Utajiri ni akili boss..hizo rasilimali bila akili ni mzigo tu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwekezaji wa Milioni 10+ Kwenye Crypto Trading. Mtaji Unakaa Kwenye Akaunti Yako (Self-Custody). Lengo: Hadi Tsh 500,000 kwa Siku

    Kama 10.million unapata faida 500k kwa siku..kwa nin usiombe mtaji mdogo wa 2.5M ambao utakupa faida ya 125k kwa siku(kwa hesabu zako ulizoandika apo kwenye 10.M)..nna uhakika mtaji utafika hyoo 10.M unavyotaka ndani ya muda mfupi tu...kirahisirahisi tu mtu aweke 10.M yake,wew unayo hyoo pesa apo??.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum: Madini, gesi na mafuta 2025 - 2050

    Now we main purchase those products: 1.Name of the Product : zinc (1) zinc ore ≥40% (2)zinc concentrate ≥45%,sulfur≥ 25% Sulfide or oxide both ok As<0.6%,Cl<0.5%,Cd<0.3%, Hg<0.06%,F<0.1% size≤10mm(within 10 mm) 2. Name of the Product : copper (1)copper concentrate ≥ 15% (2)copper ore ≥ 10 %...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha kanisa katolilki nalo limeingia kwenye kundi la makanisa ya mchongo; ushahidi huuu hapa!

    Wewe ni mwanamke au mwanaume??.hao katoliki walikulazimisha uamini wao au wewe ndo ulijilazmisha kuwaamini wao??.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tazameni Msafara wa RC Singida ,ni zaidi ya ufujaji wa Kodi za Watanzania, Hawa ndio CCM,ni lazima iondoshwe madarakani ili Taifa Liinuke

    shida nyingne ukiwatoa hao CCM,utamuweka nani au hawa ambao leo wametangaza kuhama chama
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mambo makuu unayotakiwa kufanya pale unapohisi kutengwa na wazazi, ndugu na marafiki

    Kwa maelekezo haya wewe ndo unaonekana bado unawafuatilia au umejuaje wao wanakufuatilia...kama umejitenga jitahidi usitake kujua ata wao wanfanya/watafannya nini juu yako yaan assume kama hakuna viumbe kama hao uliwajua zamani
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

    Kwa hiyoo unataka kusema wewe na mkenda..wewe ndo upo sawa kuja kumkosoa apa ila mkenda ndo amekosea??.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Gari aina ya TOYOTA DCM kama wameshindwa kutoa new version itakayoendana na wakati, zitolewe katikati ya jiji la Dar

    DCM na Toyota ni kampuni mbili tofauti,mkataba uliisha muda mrefu uliopita..DCM wakaenda Korea,hyoo New version ya hizo haitatokea tena
  15. M

    JamiiForums Tanzania Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

    For your information, dangote amekopa pesa isiyozidi USD 5.5B...hizo pesa ulizosema wametoa/wamekopa shareholders wengine.. hawezi kopeshwa hyo pesa yote dangote kwa uwezo wake.. taratibu za mikopo taasisi kubwa zina mengi na utaratibu wake,kajifunze boss
Back
Top Bottom