Nimelipia cha mwezi mmoja ila baada ya week mbili tu wamekata mpaka sasa week moja ishapita tangu ikate kila nikipiga simu wananiuliza maswali nawajibu,wananiambia mtaalamu wetu atakuja atakupigia..imebaki week moja kifurushi kiishe.. Airtel ni changamoto mnoo kwa sasa
Hii case nineshindwa kuielewa kabisaa...yaani wanaotetea saana ni wamiliki wa mabus,ma agent na madalali wao ila nashangaa abiria wenyewe ambao ndio wahusika mbona hawalalamiki saana kam hao wahusika wenyewe au Mimi ndo nashindwa kuelewa
Unaweza fanya exportation ya huo mzigo as follows;
PRODUCT: Refined Sunflower Oil (RBD)
QUALITY: Food Grade, suitable for human consumption
ORIGIN: Tanzania
QUANTITY: minimum quantity/regular supply??
PACKAGING: Flexitank / drums / PET bottles, as applicable
DELIVERY: FOB/CIF
CONTRACT...
NATO hawaingii hivyo vitani..ingekuwa hivyo wangeshaingia Ukraine muda mrefu maana Russia kavichakaza saana vifaa vyao Ukraine..wanaingia ukipigwa ukiwa nyumbani kwako sio upigwe kwa kiele ele chako nchi za watu
Kuna V8 plate no. ya raia ilikanyaga boda akafa apo apo kibaha haikusimama boda wenzie wakaona mbele kam kuna kajam flan wakaiungia,gari ndani ina watu kam wanne wote wa mfumo na wanavyamoto..walisimama wakatoa vyuma wakabebwa watatu wakawekwa nyuma ila walienda kuwaachia morogoro,uzuri washkaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.