Recent content by meegla

  1. meegla

    Tahadhari ya Polisi na RC Morogoro kuhusu Hukumu Kesi ya Uchaguzi kesho

    Yaani napatwa kizunguzungu kabisa Yaani nipige kura Halafu nizuiwe kwenda kusikiliza nn hukumu inasema juu ya maamuzi ya kura yangu? This is very very strange .
  2. meegla

    Olesendeka: Magufuli anarudisha usawa na utu kwenye nchi hii ambao ulikuwa umepotea, wasimkwamishe

    Sendeka Ana hasira na cdm si walimnyanganya jimbo Hilo liko wazi kabisa huitaji shule hapo
  3. meegla

    Baba yangu alisababisha nilale na mjomba wangu, kamwe sitamsamehe

    Du! pole sana dada. Kiukweli story yako inaumiza sana lakini nakushauri ktk jina la Mungu baba mwana na roho mtakatifu MSAMEHE BABA YAKO. HUWEZI KUJUA PENGINE ALIKUWA ANAPITIA WAKATI MGUMU. BABA NI BABA TU. TIMIZA WAJIBU WAKO MENGINE MWACHIE MUNGU ANAJUA ATAKAVYOFANYA. USITAFUTE SABABU MAANA...
  4. meegla

    Lazaro Nyalandu: USA inataka niwe rais wa Tanzania 2015

    Du hii ya nyalandu Kali yaani ameenda kujikomba kwa wamarekani ili wampe urais wa Tanzania! Sasa ndg zangu urais wa aina hii siataendesha nchi kwa maslahi ya marekani? Coz lazma kuna dili watakuwa wamekubaliana. Halafu ikulu yetu jamani siitakuwa gesti bubu?
  5. meegla

    Tumeokoka kwa neema,naomba majibu

    Unajua Dada hats malaika wa Giza hujigeuza malaika wa nuru sasa hatujui hao malaika waliokuja kumchukua babu yako ni malaika wa nuru au wa Giza. Nakupongeza kwa kuokoka umefanya uamuzi sahihi kabisa
  6. meegla

    Mkutano na wanahabari Ikulu wasogezwa hadi saa 8 mchana!

    Kama habari hii itakuwa kweli yaani mwigulu kuwa waziri basi nitaamini Tanzania kweli kichwa cha mwenda wazimu kila mtu anajifunza kunyoa. Hivi huyu mwigulu amefanya nini hadi astahili uwaziri?. Labda kama jk ataongeza wizara mpya itakayoshughulika na umbea na udaku
  7. meegla

    Wa enzi hizo mnayakumbuka haya?

    Ni kweli mkuu hata mm mambo yamekuwa yakiniumiza kichwa sana. Nashindwa kueleza dhana hi yo ni kwamba viongozi wetu hawajiamini au inakuwaje? Coz hata Leo baadhi ya sheria hizo bado zipo.
  8. meegla

    Chameleon- Tubonge

    Du! Hakya nani we kiboko nimekubali mkuu. Hii ni contemporary gospel
  9. meegla

    Unayajua yaliyomkuta Lembeli kabla ya kusoma repoti ya operesheni Tokomeza?

    Mtu yeyote yule anaeisifu ccm ni mwenye akili fupi hafikiri/ haoni mbali. Ni mtu alieridhika na mfumo wa maisha ya " chumia tumbo" wakati wao wanabadili magari ya kifahari kila uchao, wanachota nyara za serikali, wanaficha mihela uswis na wewe unashindia mihogo kila siku ?halafu unathubutu...
  10. meegla

    Chameleon- Tubonge

    Mkuu ineelekea song imekubamba vilivyo basi shusha wimbo mzima kama ulivyo hapa tuuchambue tupate ukweli
  11. meegla

    Chameleon- Tubonge

    Inabidi tu nikukubalie kwa sasa ila naendelea kufuatilia kujua ukweli kama ni gospel au la caz I love gospel
  12. meegla

    Wanaume waliofanyiwa tohara na wamasai wanatumalizia wake zetu jamani

    Hii story haina mashiko. Uongo mtupu
Back
Top Bottom