Hiyo kwer mkuu bt ningeweza hata kuanzisha goli lkn capital ndo inakuwa shida,, ndo mana nataka nifanye kaz kwa mtu then one day nitafungua goli lang mambo yakikaa vzur
Niko mbeya na nimzoefu wa kutengeza simu hardware na software kdogo,, mzoef wa compyuta japo sijasomea,, bt sichagui kazi, yoyote ile nafanya, contact 0745776502 medy
mimi ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka 2016 na nilichukua mchepuo wa sayansi na nilipata daraja la pili(division 2) nilichaguliwa kujiunga na sekondari lakin ckuweza kupata wa kuniendeleza kimasomo... in short ni yatima..
Nina mtuhumiwa wangu yuko mahabusu.. inatakiwa tar 12 kesi isikilizwe. Lakini ushahidi bado sijakamilisha na nikisema niende hiyo tar 12 kuna possibility kubwa ya mtuhumiwa kushinda kesi mana ushahidi bado sijaupata.. Msaada utaratibu ukoje wa kusogeza kesi mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.