Recent content by meddiy

  1. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ila Trump bhan, hya hao wamarekani unawalinda vp kwa kupiga Iran,
  2. M

    Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

    Huyo anaefanya hivo ni kweli hana tofaut na mpagani. Kwasbb hakuna maelekezo hayo juu ya kufunga ktk uislam
  3. M

    Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

    Una mengi unahitaj kuyajua kuhusu swaumu.
  4. M

    Kufunga ni kama mchezo wa kuigiza

    Tatizo lenu wala sio kuuliza ili mjue, bali mnakebehi, msidhihaki wengine kwan hata nyiny mna mapunguf mengi ambayo msingependa kudhihakiwa. Kwenye suala la Kufunga, Kiimani ya kiisalm vzr ungejifunza Kufunga ni nn kwa mujib wa iman ya kiislam, na utakua unakosea ukijarb kufananisha funga ya...
  5. M

    Jinsi unavyotumika kulipa visasi vya mkeo

    Oya we jamaa mbona hujamaliza story hii
  6. M

    Ni kitu gani ulipitia katika utafutaji kazi hutosahau?

    Hapa sasndio mjifunze nyiny m hapa sasa ndio mjifunze nyinyi ambao hamtak kaz za serikalin, Sio kwmb serikalin kuna hela sana, hapana, ila serikalin watu wanafata uhakika wa mshahar kila mwish wa mwez na usalama wa kibarua chako.
  7. M

    Hivi Samia na Kikwete Wana ajenda gani na hii nchi?

    Me nadhan Kikwete hana shida bali wewe nd una shida. Au labda ni wivu.
  8. M

    Ni "HAIRISHA" au "AHIRISHA"

    Aghirisha
  9. M

    GE2025 Ni ngumu kushindana na CCM hii. Pia ni ngumu kushindana na rais Samia kwa vyama hivi pinzani vya sasa

    Mh Samia Suluhu Hassan ndiye Rais ajae wa JMT,ni ukichaa tu kudhania vinginevyo! Umemaliza maneno.
  10. M

    Mrejesho wa kutafuta mwenza HIV+mwaka 2022

    Hilo ni tatizo, ugumu unajiwekea mwenyew, kwasbb hakuna atakaebak dunian maisha mengie ni lazm yaendelee, usiiishi in the past. Wewe unaisha in the past
  11. M

    Kazi zenye changamoto ya kutoboa

    Kwann wafanyakazi wa Halmashauri ?
  12. M

    Mada maalum: Tuijadili Tanganyika

    Kwani kuna Mtanganyika anae wapenda Wazanzibari ?
  13. M

    Je hii ni sawa? Kuna familia jirani hapa ya watu 9 wamepangisha chumba kimoja

    Endelea kuwafatilia utuletee mrejesho wanakulaga milo mingap kwa siku na wanakula nn ? Bila kusahau baba qa iyo familia anafanya kaz gani
Back
Top Bottom