Tatizo lenu wala sio kuuliza ili mjue, bali mnakebehi, msidhihaki wengine kwan hata nyiny mna mapunguf mengi ambayo msingependa kudhihakiwa.
Kwenye suala la Kufunga, Kiimani ya kiisalm vzr ungejifunza Kufunga ni nn kwa mujib wa iman ya kiislam, na utakua unakosea ukijarb kufananisha funga ya...
Hapa sasndio mjifunze nyiny m
hapa sasa ndio mjifunze nyinyi ambao hamtak kaz za serikalin, Sio kwmb serikalin kuna hela sana, hapana, ila serikalin watu wanafata uhakika wa mshahar kila mwish wa mwez na usalama wa kibarua chako.
Hilo ni tatizo, ugumu unajiwekea mwenyew, kwasbb hakuna atakaebak dunian maisha mengie ni lazm yaendelee, usiiishi in the past. Wewe unaisha in the past
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.