Recent content by Meddick_Uwezo

  1. Meddick_Uwezo

    Mimba ya jirani yangu inatishia maisha yangu

    Pambana na hali yako bro
  2. Meddick_Uwezo

    MAANA YA NENO "***"

    Ndiyo nashangaa jf wameweka hizo stars
  3. Meddick_Uwezo

    MAANA YA NENO "***"

    Habarini wanajamvi naombeni kujuzwa na wale wataalam wa lugha hasa kimarekani hivi neno "***" linamaana gani ??, Je ni wakati upi yaani muktadha ili neno hutumika maana naona vijana wengi hutumia bila kujua hasa nadhan maneno ya kiingereza hutumika kulingana na muktadha hivyo naombeni mnijuze...
  4. Meddick_Uwezo

    Naomba kujua gharama za kukata bima ya afya NHIF

    Habari wakuu naomba kujua gharama za kukata bima ya afya na nhif nahitaji kujua gharama zake na me niko Katie bima
  5. Meddick_Uwezo

    Je, mwanamke anaweza hakakosa hedhi ndani ya mwezi?

    Ahsante kwa elimu , kumbe hilo ni tatizo la kawaida sana
  6. Meddick_Uwezo

    Je, mwanamke anaweza hakakosa hedhi ndani ya mwezi?

    [emoji3][emoji3] acha kurusha bana mkuu nipe elimu asee
  7. Meddick_Uwezo

    Je, mwanamke anaweza hakakosa hedhi ndani ya mwezi?

    Habarini wanajamvi naombeni elimu kidogo je, mwanamke anaweza hakakosa hedhi ndani ya mwezi??, Tatizo ni nini hapo nini kinasababisha mtu kukosa hedhi??
Back
Top Bottom