Recent content by meba

  1. meba

    Najuta kufundisha lugha ya Kiingereza

    It is better to ask participation from other teacher rather than complain in social network
  2. meba

    Nataka nisome udaktari

    Maslahi kwanza mambo mengine baadae
  3. meba

    Mh. Magufuli niteue na Mimi niwe Mkuu Wa wilaya nionyeshe uwezo wangu

    Hiyo haija editiwa so spelling hawezi kuwa kigezo cha kukosa ukuu wa wilaya
  4. meba

    Nataka nisome udaktari

    Mimi ni mwalimu, nimesoma b Phil. Ed. Advance nilisoma HGE, lakini o level nilisoma sayansi je, nikitaka kusoma udaktari nitaanzia wapi? Maana uwalimu umenichosha malipo ni madogo pia hakuna marupurupu.. NAOMBENI USHAURI MAANA PCB NILICHAGULIWA WAKATI HUO LAKINI NIKABADILISHA NIKASOMA HGE.
  5. meba

    Mh. Magufuli niteue na Mimi niwe Mkuu Wa wilaya nionyeshe uwezo wangu

    Mimi ni mwalimu katika wilaya ya Arusha, namwomba Mkuu Wa nchi anipe na mimi ukuu wa wilaya nitumikia taifa. Mh. Rais kwanini huwa hauteui wakuu kutokangazi ya chini kama sisi walimu? Basi kwa kuleta usawa naomba uniteue na mimi nionyeshe uwezo wangu. Mh rais nakuahidi kuwa mimi ni mchapa kazi...
  6. meba

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi mwalimu sekondari nipo hapa Moshi manispaa natafuta mtu wakubadilishana Kituo yeye aje moshi mji nami niende Arusha jiji piga namba 0763042331
  7. meba

    Dkt. Magufuli aibomoa ngome ya Lowassa

    Ccm sasa hv wamebaki na siasa za maji taka
  8. meba

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo moshi mimi nipo Arusha jiji sheri ipo moshi mimi piga 0763042331
  9. meba

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Huku Arusha tumeshasahau kama kuna umeme sasa hivi ni majenereta tu.
  10. meba

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Sio kwamba napotosha nasema ukweli kwanini wakate wakati muda umekakaribia
  11. meba

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Kweli hii nchi imeshauzwa yaani nape sasa hivi ndio mkurugenzi wa Tanrsco
  12. meba

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Baada tu ya itv kutangaza kuwa watatangaza moja kwa moja mkutano wa chadema, kumkaaribisha Lowassa, tanesco wameshakata umeme. Kweli ccm ni waoga wa kisiasa sasahivi wanatumia nguvu na nahisi ndani ya ccm wameishiwa hoja sasa wanatumia dola na mashirika ya kiserikali.
  13. meba

    Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    Wewe mbona unaleta mada kama upo chekechea si uandike habari inayoeleweka
  14. meba

    Kauli ya UVCCM Bagamoyo kuwa rais hatatoka kaskazini vipi kwa Lowassa, Migiro na Sumaye?

    Kaskazini kimbi hichi hata iweje ccm hakipati kitu huku.
  15. meba

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Moshi mjini (manispaa) mimi nije Arusha jiji idara ya sekondari piga 0763042331
Back
Top Bottom