Dkt. Magufuli aibomoa ngome ya Lowassa

Dkt. Magufuli aibomoa ngome ya Lowassa

Fisadi mkubwa kaulize huko Tanroad na tafuta ripoti za CAG,nyumba za serikali kafanya zake.HUYU NI ZAIDI YA FISADI.

nyumba za serikali waliuziwa wafanyakazi wa serikali kama tanroad kunaufisadi tusingeziona barabara za rami nchi nzima na ww mpayukaji unapita kwenye hizo barabara nzuri
 
nyumba za serikali waliuziwa wafanyakazi wa serikali kama tanroad kunaufisadi tusingeziona barabara za rami nchi nzima na ww mpayukaji unapita kwenye hizo barabara nzuri

Huyo unaye mtetea ni mtanzania?
 
Unafahamu deni la kila mtanzania ambalo limesababishwa na serikali ya ccm? Tafuta takwimu za kipindi cha mzee mkulu kama hujaenda kulia chooni.
 
Kama CCM mbinu zenyewe ndio hizi (za kitoto) wanazoanza kuzitumia saa hizi naona kama wamechelewa hivi🙂
 
nyumba za serikali waliuziwa wafanyakazi wa serikali kama tanroad kunaufisadi tusingeziona barabara za rami nchi nzima na ww mpayukaji unapita kwenye hizo barabara nzuri

Unajua barabar wewe,hizi za Tz ni service road,inajengwa leo kesho inakarabatiwa.
 
Huyo unaye mtetea ni mtanzania?

Kwa sasa nchi hii haina Wenyewe ndio maana mfumo wa utoaji vitambulisho umeandaliwa, Kuna wajapani, wajerumani, wahindi Kibaooo washapata tayari kesho Wakigombea tutasemaje...Dunia kama kijiji.
 
Wameumia mbaya kabisaa

Asante sana Mkuu kwa kunijibu fasta kama nilivyoomba, nimegundua wewe ni Mtanzania mwenye haki ya kupiga kura kumchagua kiongozi anayefaa. Nadhani wewe siyo Mwana-CCM wala mwana-CDM wala chama chochote cha siasa (I stand to be corrected).
 
Uchaguzi sio emotion! ni swala la kutuliza akili...thats why watu wataipa CCM kura ya ndio,Ila kampeni ni sawa kuwa emotional kama vijana wenzangu na UKAWA (mwamvuli wa wapinzani kuombea kura)
 
Back
Top Bottom