Recent content by mduwanzi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu na Mchungaji Msigwa, acheni chuki za kitoto kwa Zitto

    yale mambo binafsi mbona mnaingilia
  2. M

    JamiiForums Tanzania Haya ndio Mashirika/Taasisi wabaguzi wa ajira, Ongezea tuwaumbue!

    TANROAD pia ni nyoko sana....watakuita dsm hadi shinyaga alafu wanapeana balaa nafasi 5 unawapa 4 wasichana 1 mvulana eti gender issue nyoo kumbe hata huyo mvulana alikuwa na mama yake hapo na hao wasichana wote wana ndugu hapo..same to lindi nimekaa na mdada ktk written interview ananingalia...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Zitto aitisha Press Conference (Machi 22, 2015) Serena Hotel

    tupeni report alichoongea zito....sio picha tu hata ka audio....
  4. M

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Zitto Kabwe ahamia rasmi ACT Tanzania

    zito alisema hata gombea ataenda kufundisha....ameonekana hawezi kusimamia maneno yake kwa hilo si wala siwaminika...alisema atakuwa mwisho kutoka chadema huyo kaondoka ......kisiasa ameonesha ameshaanguka ...watabaki wale tu wanafata mkumbo km kitilla..
  5. M

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri mechi ya Mgambo JKT Vs Simba at Mkwakwani

    kweli simba kapigwa 2
  6. M

    JamiiForums Tanzania CCM kupitia Nape Nnauye yawafananisha wananchi na wadudu aina ya "Kupe".

    record ben kama unayo achia....tusije kusikia ya kuedit....
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mtoto mwenye miaka 3, mwenye uwezo wa kufanya hesabu za Sekondari na kuongea Kiingereza vizuri

    wekeni hata video yake...mie siamini
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hali si Shwari Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

    MD Maimu jina lake la ubini ni nani???
  9. M

    JamiiForums Tanzania Pengo awalipua Maaskofu, asisitiza uamuzi wa aina ya kura ni wa mtu binafsi

    kwani usi support maamuzi ya wenzio km ulikuwa haupo inamaana ofisi yako ilikuwa haina delegation????.....
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nimeisoma, Nimeielewa, Sitaipigia Kura

    usipoenda kupiga kura ndo wanashinda kwa kupitisha maana wewe umesoma umeelewa ....ila wengine hata kusoma hawajasoma wataenda kwa mkumbo kupiga kura ya kukubali....solution jiandikishe alafu piga kura ya No..usipopiga kura ndo utahiaribu hiyo nchi yako kama unavyosema.....
  11. M

    JamiiForums Tanzania naulizia post za accounts assistant II Tanzania postal corporation(TPC) .

    wadau tulifanya written interview ya kwanza then oral interview kigongo watu wakafanya vibaya wote ....ikabidi wawaite mara ya pili ya oral hata walio miss kuja ya kwanza......sijajua vipi watu wameitwa kuanza kazi???? maana tangu january????
  12. M

    JamiiForums Tanzania Maisha bora kwa kila mbongo?

    Nauliza... If u loss ur way go back to beginning
Back
Top Bottom