Mimi ni mwalimu wa somo la geography. leo nimeletewa kifaa kinaitwa teller meter na mtu kiukweli aliyeniletea akijui na Mimi nimekicheki kwa kweli kimenichanganya. naomba Masada kwa anayekipata vizuri
ukiona mtu anafanya parsonal attacks ujuwe hana hoja, naona povu lina watoka, mbona ss wenye akili issue ya escrow tulishaielewa, sarakasi zake hazitupi shida wala kutunyima usingizi, kamwambie aliyekutuma kuwa wimbo huu wa escrow kwa Ngeleja umeshachuja
Ni kweli watu wamekaririshwa majina bila.kufahamu kuwa hakuna special kwa urais. Bila.kujali ushabiki Ngeleja is SMART.Na huyu mtu kadiri siku zinavyoenda anaonekana kuwa threat kwa watu fulan fulan maana hapa bongo ukiona mtu anaanza kuandamwa na tuhuma ujue ni mipango ya wale wanaotaka kulinda...
shida ya vijana Wa Leo ni kuongozwa na hisia tu. jenga hoja zenye maana tujue kwann asiwe ngeleja na awe huyo unaempenda. Watu wanaweka facts za utendaji Wa ngeleja na nyinyi wekeni za hao mnao waamini basi tupime.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.