Ngeleja apongezwe kwa hili

Ngeleja apongezwe kwa hili

Huyu Ngeleja ni kikaragosi cha fisadi Rostam toka akifanya kazi Vodacom. Alipokuwa waziri wa Nishati alifisadi mikataba ya mafuta na kupata fedha nyingi zilizomuwezesha kununua gari aina ya Mercedes benz kule D.T Dobie kwa kulipa mamilioni ya shilingi kwa fedha taslimu!! Kwavile alikuwa amefisadi na kupata hizo fedha, baada ya kulipia lile gari akaogopa kwenda kulichukua na ilibidi aliache kule kwa muda mrefu sana na hata baada ya kulichukua anaogopa kulitembelea na hivyo kulifungia nyumbani kwake!!!That is Ngeleja the aspiring presidential candidate for you!!
tatizo lililopo ni moja. Mnaposikia jina la Ngeleja nadhani mnatamani kupasuka. Huu ni mwaka wake bwana. Ongea muwezavyo ila huu mwaka ni wake. Yameibuliwa mengi dhidu yake ila hatetereki. Na kinachohitajika kwa watu ni legacy aliyoiachakwa wananchi
 
Mahasimu wa Ngeleja mtabana sana ila mwisho wa cku mtaachia tu,hamna jinsi!
 
Watanzania tuache cheap political styles. Mtu ananunua kitu kulingana na uwezo alionao. Huwezi leta hoja nyepesi kama kununua Mercedec Benz kama hoja dhidi ya mtu. Mambo mema aliyotufanyia wananchi mpaka sasa yameacha legacy kubwa kiasi kwamba anapaswa kuwatumikia wananchi husika kwa ngazi ya juu zaidi.

Huo uwezo ulimnyeshea kama mvua au ulikuja baada ya kuliibia taifa akiwa wizara ya nishati!! Kwanini basi aliogopa kulichukua lile gari kama kweli hizo fedha alizonunulia hilo gari zilikuwa za halali!!! Huyu ni mwizi aliyezoea anayefikiri kwenda Magogoni ni njia ya kuendeleza wizi wake .
 
Mahasimu wa Ngeleja mtabana sana ila mwisho wa cku mtaachia tu,hamna jinsi!

Amekwisha pigwa marufuku kuhudhuria vikao muhimu vya chama iliyobakia ni kukata jina lake kwenye kugombea ubunge!!! Wapambe wake mtalia sana.
 
Nyakati za watu kutumika kama mipira ya kiume imefika yaani jitupoyoyo zembe na jizi la eskrow kama ngeleja linasifiwa?kiufupi zama za ngeleja zimefika tamati hata ubunge atausahau akalime pamba sengerema
 
Nyakati za watu kutumika kama mipira ya kiume imefika yaani jitupoyoyo zembe na jizi la eskrow kama ngeleja linasifiwa?kiufupi zama za ngeleja zimefika tamati hata ubunge atausahau akalime pamba sengerema

Wizi wa Ngeleja uko wapi hapo Ndugu..... ni kweli mda wa ubunge umefka tamati sasa ni mda wake wa kwenda juu zaidi sio??
 
Huo uwezo ulimnyeshea kama mvua au ulikuja baada ya kuliibia taifa akiwa wizara ya nishati!! Kwanini basi aliogopa kulichukua lile gari kama kweli hizo fedha alizonunulia hilo gari zilikuwa za halali!!! Huyu ni mwizi aliyezoea anayefikiri kwenda Magogoni ni njia ya kuendeleza wizi wake .
Unajitekenya na kucheka mwenyewe. Hela kapata saws ulitaka atembee kwa miguu wakati ana uwezo wa kununua gari. Hoja huna kazi kuja na kutuimbia taarabu humu jf
 
Nyie vilaza acheni wivu,Ngeleja ni kipanga sana tu,watanzania makini wanalijua hilo. Uwongo na uzushi dhidi dhidi yake havitamyumbisha. Mtakubali tu muziki wake.
 
Yaani nyie wivu utawaua! Ina kila mtu tajiri ni mwizi?asa mbona hammshtaki mahakamani? Mnaofurahia ngeleja kusimamishwa NEC kwa muda ni walewale mnaomhofu,kwa uwezo wake kiutendaji na kisiasa. Waulizeni maccm nani mwenye mvuto zaidi huko kanda ya ziwa zaidi ya ngeleja? Ngeleja kaonewa tu huo Unec,mbona Lowassa alipopigwa chini uPM mwaka 2008, au hata operation tokomeza ilipowatokomeza akina Vuai Nahodha, Nchimbi na Mathayo mwaka 2012 hawakusimamishwa uNec wala ujumbe wa CC hadi leo wanadunda tu? Eleweni hizo siasa za upendeleo zitaigawa nchi!
 
Ngeleja angendelea kuwepo kwenye nafasi yake ya uwaziri had Leo asilimia zaid ya 50% ya vijiji vya Tanzania vingeshawekewa umeme ,Ngeleja ni mchapakazi sana.

Kumbe Ngeleja alikuwa Fundi umeme wa Tanesco? Hivi kazi ya waziri ni nini katika wizara? Maana naona kuna watu wanachanganya mambo humu
 
Nyie vilaza acheni wivu,Ngeleja ni kipanga sana tu,watanzania makini wanalijua hilo. Uwongo na uzushi dhidi dhidi yake havitamyumbisha. Mtakubali tu muziki wake.

Mkuu, Hivi Ngeleja mgao wake wa Escrow kashaulipia kodi?
 
Unajitekenya na kucheka mwenyewe. Hela kapata saws ulitaka atembee kwa miguu wakati ana uwezo wa kununua gari. Hoja huna kazi kuja na kutuimbia taarabu humu jf

Wewe Ngeleja jitetee tu lakini ujue kuwa umeishakuwa historia katika siasa za bongo!!! You are already deleted!!!
 
Hakuna wa kum delete Ngeleja ktk siasa za bongo, legacy yake ni kubwa wizara aliyocheza nayo ni kubwa na kaitendea haki, labda ujitoe ufahamu tuu..
 
Mleta mada kumbuka mwizi ni mwizi tu hata umpambe vipi. Ngeleja ni mwizi
 
Mleta mada kumbuka mwizi ni mwizi tu hata umpambe vipi. Ngeleja ni mwizi

naona umeamuwa kulopoka kijana lete wizi wa Ngeleja hapa au unapayuka kwa kuwa mdomo ni mali yako!! na bandle umejiunga km mwanafunzi wa collage.
 
naona umeamuwa kulopoka kijana lete wizi wa Ngeleja hapa au unapayuka kwa kuwa mdomo ni mali yako!! na bandle umejiunga km mwanafunzi wa collage.

Jifunze kuandika na kuwa makini na spelling kabla hujaanza ubishi.
 
Back
Top Bottom