Brown Charles
Member
- Apr 15, 2015
- 13
- 0
Ameprove big failure how??
Escrow ni Mpango wa wabaya wa ngeleja kujaribu kuizima nyota yake. Lakini wamechemka na ndiyo maana kanda ya ziwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kaongoza kwa 83% huku wapinzani wakigawana 17%. Ngeleja katapila. Anafaa kuongoza nchi.
83% ccm na 17% cdm. Ni akili ya kitoto sana kujiuliza kuwa cdm ina uwezo wa kushinda sengerema. Smart person hawezi kuota hilo. Only leghman like you that can think in that way.
tuache siasa za kutoana kafara kwa baadhi ya watu na siasa za majungu. Ngeleja mimi naona yuko vizuri kisiasa. Mwanasiasa mtulivu na anayetabirika. Tatizo la nchi yetu kwa sasa watu wanataka umaarufu binafsi tofauti kabisa na ndg. Ngeleja. Piga kazi kiongozi achana na majungu utafika mbali