mkizantongani
Member
- Apr 1, 2012
- 66
- 11
Utendaji Wa Ngeleja ktk wizara ngumu ya nishati na madini ndiyo unanifanya nimuone huyu mtu anaweza. Oohoo mwizi leta ushahidi hapa sio porojo .
Napenda tujenge hoja swala la kumuita mtu mwizi bila hoja yoyote ni uzembe wa kufikiri, Ngeleja ni mwizi kwa lipi hasa,...
Najua haumjui Ngeleja that's y..pata kumjua kidogo
WASIFU WA MHESHIMIWA WILLIUM MGANGA NGELEJA (THE CURRICULUM VITAE)
Particulars/ Husishi/Moja moja
Jina: WILLIUM
Jina la kati: MGANGA
Jina la mwisho/ukoo: NGELEJA
Tarehe kuzaliwa: 05/10/1967
Wasifu wa ndoa: AMEOA
Anuani: SLP 2000 DAR ES SALAAM
Simu ya kazi: 0754710070
Taaluma yake
2001-2002: CERTIFICATE YA SHERIA YA MAWASILIANO YA MITANDAO YA SIMU WITWATERSRAND UNIVERSITY SOUTH AFRICA
1996-1999: MASTERS IN LAW (LLM)UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
1991-1994: LLB UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
1987-1989: A-LEVEL IHUNGO HIGH SCHOOL
1983-1986: O-LEVEL MPWAPWA SECONDARY SCHOOL
1976-1982: PRIMARY EDUCATION(ELIMU YA MSINGI) BITOTO PRIMARY SCHOOL
Historia ya kazi
2005-2015: MBUNGE BUNGE LA TANZANIA (JIMBO LA SENGEREMA)
1/12/2007-08/02/2008: NAIBU WAZIRI NISHATI NA MADINI
Feb 2008-May 2012: WAZIRI NISHATI NA MADINI
2000-2005: MWANASHERIA MKUU VODACOM TANZANIA
1995-2000: MWANASHERIA MKUU PRICE WATERHOUSE COOPERS COMPANY
1994-1995: OFISI YA MWANASHERIA MKUU KWA AJILI YA MAFUNZO YA SHERIA YA NCHI NA UTUMIZI SAMBAMBA NA USIMAMIZI WAKE
Wasifu kisiasa ndani ya chama (CCM)
1980-1981: MWENYEKITI WA VIJANA SHULE YA MSINGI BITOTO
2012-2017: MJUMBE HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
Na huo ndioo wasifu wa mheshimiwa Ngeleja...
ww msafii na yupi ambaye kwako ni msafi. Ngeleja hatosha
Njaa inatabu, kampe mkeo sasa!
Huyu Ngeleja ni mzuri sana, yaani kama tukiendeleza chuki na siasa chafu,tutakuja kupoteza jembe hili,asante sana watu wa njombe na mbinga kwa kumuona kamanda wetu huyu, yuko vzur kabisa mi nimempitisha ndani ya nafsi yangu
Ngoja nikuuulize wewe mpambe wa Escrow, kama Ngeleja ni jembe kwani aliachishwa nafasi hizo za uwaziri? kuna wengine wamekuwa wakibadilishwa nafasi za uwaziri na sii kufukuzwa, kwanini Ngeleja amefukuzwa moja kwa moja? ni mdhahifu, ni mwizi, na hata udhibitisho mwingine ni kwamba kwenye ripoti ya escrow, ni mtuhumiwa. Kamwe huyo Ngeleja sidhani kama atafaa hata kuwa mbunge.