Kuna ndugu yangu alisoma O-level hapa Tz,ila matokeo yake ya fm4 alipata 4,akaenda uganda akaendelea na fm5 na 6,six akapata 2,Je huyu anaweza pata chuo hapa na kuchukua degree? .Naomba ushauri wako kama una infor kuhusu hili.Thanks
Mimi kero yangu ni maji na ufisadi uliofanyika katika Wilaya Same kijiji cha Vumari.Hawa wanajiita TASAFU walikuja eti wanaboresha miundo mbinu ya maji.walidai wanajenga visima 2 vipya vya maji.Hatimaye wakakarabati tu vilivyokuwepo hawakujenga hata kimoja ,hela za kujenga visima zikaingia...
Wanafunza wa SAUT Mwanza wanaochelewa kulipa tution fees uongozi wa chuo unawatoza faini ya tsh 100,000 kwa kila semester.Total ya laki mbili kwa mwaka kwa wale wanachelewa semester zote mbili.Watoto wa wakulima hapa tunaumiza vichwa ada hatujamaliza hapo tena tunabambikiziwa faini juu! Masikini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.