Saut kulipa fines

Mdavire

Member
Jun 11, 2011
18
0
Wanafunza wa SAUT Mwanza wanaochelewa kulipa tution fees uongozi wa chuo unawatoza faini ya tsh 100,000 kwa kila semester.Total ya laki mbili kwa mwaka kwa wale wanachelewa semester zote mbili.Watoto wa wakulima hapa tunaumiza vichwa ada hatujamaliza hapo tena tunabambikiziwa faini juu! Masikini tunaumia uongozi waliangalie hili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom