Watasafirisha nyani,
Nyi mnashangaa twiga.
Watamfunga nani?
Na mwanasheria mkuu ni maswaiba.
Basata wanakwambia huu wimbo ni WA uchechezi. Tanzania tuna kazi kubwa kuziba HII mianya ya wizi.
UKWELI UTAKUWEKA HURU
Tatizo lipo KWELI. Ila tuangalie limeanza LINI na wapi? Nyumba wazazi wanaozini na watoto wao hawajulikani? Je tatizo ni mwalimu kufanya mapenzi na mwanafunzi au mwanafunzi kufanya mapenzi na mwalimu? Tatizo pia liko kwenye jamii kwa kumuona mwalimu kama SIO binadamu na wala hatakiwi kukosea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.