Recent content by MDAKI

  1. M

    Mwandishi afungwa baada ya kutoboa Siri ya Uhusiano wa Israel na Iran Fake Enemy

    Mbona wafalme wengi Saudi Arabia ni wayahudi?
  2. M

    Simbachawene: Ajira za Walimu kutoka baada ya bajeti kupita

    Ajira ni MWEZI WA saba Simbachawene kashasema
  3. M

    Raia wa Uholanzi wakamatwa Uwanja wa Ndege KIA na tumbili hai 61

    Wanyongwe wengine wataogopa
  4. M

    Raia wa Uholanzi wakamatwa Uwanja wa Ndege KIA na tumbili hai 61

    Watasafirisha nyani, Nyi mnashangaa twiga. Watamfunga nani? Na mwanasheria mkuu ni maswaiba. Basata wanakwambia huu wimbo ni WA uchechezi. Tanzania tuna kazi kubwa kuziba HII mianya ya wizi. UKWELI UTAKUWEKA HURU
  5. M

    Magufuli: IPTL ni mkataba wa ovyo, Serikali haitaendelea nao!

    Je waliosaini mikataba hiyo wako wapi? Kama wanajulikana wanachukuliwa hatua gani? Je wao hawawezi kutumbuliwa? Jpm wachukulie hatua Za kisheria.
  6. M

    Walimu 8 wakamatwa kwa kujihusisha na mapenzi na wanafunzi

    Tatizo lipo KWELI. Ila tuangalie limeanza LINI na wapi? Nyumba wazazi wanaozini na watoto wao hawajulikani? Je tatizo ni mwalimu kufanya mapenzi na mwanafunzi au mwanafunzi kufanya mapenzi na mwalimu? Tatizo pia liko kwenye jamii kwa kumuona mwalimu kama SIO binadamu na wala hatakiwi kukosea...
  7. M

    Wakati tunafurahia usomaji wa namba na Majipu, nchi inakwenda huku...

    Tatizo watu WENYE AKILI hajiamini. Huku wapumbafu wakifanya yao kwa kujiamini
  8. M

    Kakosea kutuma pesa kwenye simu yangu, nimezitafuna

    Kabla hujatuma angalia jina na namba ni vyenyewe unaambiwa thibitisha ukituma pengine na umethibitisha usilaumu
  9. M

    Kakosea kutuma pesa kwenye simu yangu, nimezitafuna

    Tukumb Tukumbuke LAKINI katika kutuma pesa kuna kipengele cha kuthibitisha
  10. M

    Magufuli aendelea kukuna wananchi.Bidhaa muhimu kushuka Mfumko wa bei za nafaka kudhibitiwa

    Mi nadhani BADO mapema SANA. Tusubiri mwaka uishe kisha tuseme
  11. M

    Kampuni ya Rifaro Africa yafungiwa na TCRA, yatozwa faini!

    Mm mmeambiwa kilichofungwa ni code namba ya kusajiria na si kampuni. Kwa sasa tunasajiri kwa mtandao
Back
Top Bottom