Lara 1utawapoteza wenzio some women are gullible za kuambiwa hawachangany na zao.... me niolewe af nikukute na mume wngu, you r dead meat!!! Ukitendwa vumilia ugulia maumiv yakiisha lyf goes on! that is how we do..
Hehheee ajabu kama ana fuko la ela ama kisima me sijali nimefanya kazi mhahara wangu nataka imekua public holiday napumzika na mshahara nataka kwan sheria ya mapumziko tumeweka sisi???
well said
Wanafuja jasho letu halafu tuwafanyie kazi mpaka sikukuu???? big NO. Tena akina sis tunaowafanyia kazi ngozi nyeupe wanavyojua ku utilize resources nataman weekend iwe siku nne ili nipate muda wa kufanya mambo mengine yanayoweza kunikuzia uchumi binafsi sio huo wao wa kwenye paper work
Lara1 nimependa uandishi huo raha kusoma na huyo shost mpe ukweli kistaarab kama yuko vizur upstairs atakuelewa sabab humwamulii maisha ila utamsaidia akae kwa tahadhar.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.