Recent content by mdache

  1. M

    Be Forward Tanzania as a Clearing Agent

    Wiki iliyopita nimetoa gari yangu kupitia wao, wako vzr sana, kwanza tra nlilipia kabla hata gari haijafika, na gari nilichukulia ofsn kwao, walilipa gaqgama za bandarin na shipping line gari ikatoka ndo nkawarudishia pesa zao nkachukua na gari
  2. M

    Sina hamu na tra uwiiii

    yaani mtu unatafuta hela kwa malengo lakini kinachofanyika unajikuta umechoka yaani sina hamu
  3. M

    Sina hamu na tra uwiiii

    Nimekusanya vsenti vyangu nikaagiza gari japani, sijakaa sawa uchakavu ukawa miaka nane ikabidi nijichange tena ili gari lisije likaozea bandarini, documets zimekuja TRA wame uplift CIF ina maana kodi inazidi kuwa kubwa zaidi. Jamani hii tanzania tunaenda wapi jaman, TRA SINA HAMU NA NYINYI
  4. M

    Dawa ya minyoo kwa mtoto

    Nashukuru sana kwa ushaur wenu
  5. M

    Dawa ya minyoo kwa mtoto

    Habari wana JF, mtoto wangu ana mwaka mmoja sasa, tangu azaliwe sijawahi kumpa dawa ya minyoo, na kama mjuavyo watoto wa umri huu kila anachoona anataka aweke mdomon. Je naweza kumpa dozi ya dawa ya minyoo hata kama hajaumwa?
  6. M

    Msaada: Nataka kununua gari

    Nashukuru sana wadau
  7. M

    Msaada: Nataka kununua gari

    asante manake watu kwa kuvunja moydn
  8. M

    Maskini mke wangu kumbe ulitoa mimba? Kwanini sasa hukunambia nifanye maamuzi?

    wengne wanaish kwenye ndoa zinawaka moto lakini wamo, we unaish vzr mkeo yani historia ya nyuma ndo ikuharbie raha ya ndoa!!! najua inauma ila na ili uwe huru mwambie ukwel ujue n kipi kinakuumiza ili maisha yaendelee kuliko afkrie una mchepuko then na yeye achepuke haitakuwa ndoa tena. Weken...
  9. M

    Jenifer Mgendi mkongwe wa mziki ila hajatoka

    Alikuwa anafanya kazi chuo cha tiba muhimbili akaacha ili aimbe na kuigiza
  10. M

    Maajabu: Kanumba mpya huyoo!

    Anaitwa Rammy Galis ila hawafanan, ile movie ya mwsho ya power of love ya kanumba wkt inaanza wameonekana pamoja yan kanumba na huyo kaka sa sijui alikuwa ameanza kuigza naye au ni mambo ya computer
  11. M

    Msaada: Nataka kununua gari

    Wadau sijawahi kumiliki gari ila sasa nimejikusanya nikapata milion 10, naomba msaada nataka kuagiza gari lakini nina wasiwasi kama kiasi hicho kitatosha hadi kutembea barabarani. Gari ninayo plan ni raum, ist na spacio. Naomba ushauri kati ya hizi ipi naweza kuipata kwa kiasi hicho cha pesa...
  12. M

    Naombeni ushauri,nimfanyeje huyu binti

    Songa mbele kaka ucrud nyuma, yan ulmbembeleza na ukatumia hadi ndg akakataa then umrudie! utakuwa umeonyesha udhaif mkubwa sana
  13. M

    Wamekataa mahari ya binti yao, tufanyeje?

    kiukwel hata kama ingekuwa kabila lngne lazma wangekasirka, manake wamejiandaa then hawaon watu, we tulia kama ni wako utamuoa tu vngnevyo wakiendelea kukataa mwache Mungu atakupa wako
  14. M

    Msaada wa haraka; mama wa mpenzi wangu nahisi anajihusisha na ushirikina

    kwan we kaka huwez kuvumilia had uchepuke? cku uktoka manundu kwenye mgegedo ndo utajua umamue nin, baki njia kuu
  15. M

    Nisaidieni ushauri, je nimrudie huyu mwanamke na je nitamridhisha kweli

    wakati mwngne ni vzr kuchukua maamuz magumu, angekuwa anakupenda angekwambia tatizo tang mwanzo kuliko kucheat kwanza then ndo anakueleza, kimbia huyo hakufai atakuumiza tu mbelen, bora angefanya mara moja lakn mara zote hzo we bdo tu unamhtaj duh,
Back
Top Bottom