Recent content by MD MOWO

  1. M

    Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

    Me sitachepuka ila nitaishi mazingira ya kimada wa MTU mwingine...najijali watoto nawajali out na wanangu full raha....namtenga kiaina fedha za matumizi namwambia haztoshi....naanza na kufanya mambo ambayo najua hata tukitengana nakua sijutii.. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Finally nimeshindwa kujizuia, yule beki 3 imebidi nimtafune

    Huwa sijui kwa nini hamuelewagi yaani binti anajilegeza kwako unajiachia kiivyo???? Wengi wao huwa wanataka kuwabambikizia mimba zisizo zenu..magonjwa..lakini huwa mnajitia hamnazo,,,mnaishia kukimbia familia na majukumu mliyobambikiziwa!!!! Mna laana kwa kweli fungukeni akili,,,vichwa vya chini...
  3. M

    Kilichojiri interview ya TRA - Dar katika picha, huu ndo mtihani wamepewa

    Duuhhh nimeshalielewa tatizo kwa nini vijana wanaogopa kuoa ilihali umri umempisha mkono...ona kina kaka wanavyosukumana hapo duhhh...naona vichwa vingi ni wakaka...aisee Mungu tutazame waja wako tuna mengi yanayoumiza mioyo yetu!!!? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Ni yapi maoni yako kuhusu hali ya Huduma za Afya kwa sasa nchini?

    Huduma ni mbaaaayaaaa magufuli tokatokatokatokatoka mpishe kassim majaliwa.. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Kagera: Msafara wa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe washambuliwa na watu wasiojulikana

    Wamweke kassim majaliwa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Kagera: Msafara wa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe washambuliwa na watu wasiojulikana

    Si juzi tuu daktari kafumuliwa na mume wa mgonjwa ...kweelii karangwe wanahasira .... Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Harusi ya mdogo wangu ilivyochukua wazazi na ndugu zangu wote

    Pole sana Leah ... Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

    Lyakombila p/s top 5 kwanzia drs 1-7...Kilimanjaro.moshi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Nawapenda sana wanawake wanaovaa khanga nyepesi

    Chek sasa Mara ya mwisho kumnunulia mkeo khanga ilikua lini????? Oohhh napenda alafu awe na chura ooh mkia...ohhh kabinukaa....ndo maana mnamendeamendea vya wenzenu vyenye chura!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Wadada mlioolewa na mnaotarajia kuolewa!

    Nimekuelewa nganengo tajitahidi kutoangalia makandokando yake ili niweze kusimama. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Vitu vinavyoweza kupunguza mahusiano au kuvunjika kabisa

    Mtoa mada Leo kama sio kesho watu watachanana sura NA hivi magu anakaza kamba wanawake walioolewa kwa lengo la kuhudumia familia watateseka sana......wanazaa kwa uchungu hebu wanaume mkae angalau kwenye majukumu yenu,...dot.com Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Wadada mlioolewa na mnaotarajia kuolewa!

    Acha kabisa mwanaume akiwa smart kila idara michepuko noo... anajali familia.... Maendeleo yapoo@ aisee nitaparangana mpaka kieleweke****mitabia yao ndo huwa inatukatisha tamaa NA kutumaliza nguvu.. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Majina ya Asili ya Kabila la wachaga

    Nyio moshi masamu yoo nkokumburia??? Machameee ang'u sango Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M

    Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    My twin hatimaye mekupata Sent using Jamii Forums mobile app
  15. M

    Wadada acheni hii tabia ya kuuliza 'ndoa lini'

    Na nyie muache kuwapa wachumba zenu majukumu ya ndoa!!!! Mara kufua kupika sheria kibao,,,akati huna mpango nakua naforce nisiendelee kuwa mtumwa wako mwisho wa Siku unabwaga...ahhhhh kwanini nisijue hilo ili nijiongeze mapema???? Unaishi na dada wa watu miaka 4 huoi, miaka 30 ndiiii inagonga...
Back
Top Bottom