Kuwa wazi au ulikuwa na miraa kwenye hivyo viatu? Kwa hali ya kawaida kama vibali unavyo na mali ni yako haiwezekani akudhulumu kizembe hivyo.muraaaa kweliii?
Nimekaa nikafikiria kutokana na tabia za hao watu wanekuwa mashemeji kijana wao angekuwa na tabia ambayo ni average ya tabia zao nahisi Hugo kijana angekuwa anakera
Wanatumia jina Israel lakini wale ni wahuni toka Germany Russia France na Eastern Europe.Was Ethiopia wanadai wao wanaundugu nao lakini wanabaguliwa.Hawa jamaa ni waporaji kama Morocco kwa Saharawi
Hilo halina ubishi nafikiri ndiyo dhana nzima ya chama cha wafanyakazi na wakulima kuona wafanyakazi wako upande wao hivyo ukianza kudai haki unaanza kusumbuliwa hata na balozi wa ssm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.