Recent content by mcunguzi nyaishozi

  1. M

    Mmiliki wa mabasi ya Zakaria amenidhulumu mali yangu na kutishia kuniua

    Kuwa wazi au ulikuwa na miraa kwenye hivyo viatu? Kwa hali ya kawaida kama vibali unavyo na mali ni yako haiwezekani akudhulumu kizembe hivyo.muraaaa kweliii?
  2. M

    Kama baba angekuwa Wassira halafu mjomba ni Lipumba unekuwa na tabia gani!

    Nimekaa nikafikiria kutokana na tabia za hao watu wanekuwa mashemeji kijana wao angekuwa na tabia ambayo ni average ya tabia zao nahisi Hugo kijana angekuwa anakera
  3. M

    Mawaziri 5 bora 2016

    Uliyepost unaweza kuwa mtu wa tarime tena ni mdau wa Mbele kwa mbele.Huyo DC wa Tarime kwa media ni shidaaaa!
  4. M

    Ujumbe kwa walimu wote

    Unatoa ushauri au unaamua kuonyesha weledi wa domo lako kuharisha kashfa
  5. M

    Mossad: Nguzo imara nyuma ya ustawi wa taifa la ISRAEL dhidi ya hila za SYRIA.

    Wanatumia jina Israel lakini wale ni wahuni toka Germany Russia France na Eastern Europe.Was Ethiopia wanadai wao wanaundugu nao lakini wanabaguliwa.Hawa jamaa ni waporaji kama Morocco kwa Saharawi
  6. M

    Uhusiano wa kihistoria uliopo kati ya TUCTA na CCM. Ni ngumu sana TUCTA kumtetea mfanyakazi.

    Hilo halina ubishi nafikiri ndiyo dhana nzima ya chama cha wafanyakazi na wakulima kuona wafanyakazi wako upande wao hivyo ukianza kudai haki unaanza kusumbuliwa hata na balozi wa ssm
Back
Top Bottom