Recent content by mcomunisti halisi

  1. M

    Kwanini Tanzania na sio Cameroon: Imperialism and Barbaric actions against patriotism

    IMPERIALISM AND PATRIOTISM Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime. Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga...
  2. M

    Chakula cha usiku kwa wapinzani na wanaharakati Tanzania

    Huenda ukuta ingeleta mabadiliko kwenye baadhi ya maeneo yaliyo legalega.
  3. M

    Rais Magufuli hujachelewa Socialism na communism ndio mfumo sahihi kuelekea kwenye maendeleo

    Namshauri mheshimiwa Rais arudishe uchumi kwenye mfumo wa socialism ili aweze kuinua uchumi wa nchi maradufu,alete usawa kwa watu na kukomesha ufisadi na kuongeza uzalendo kwa watumishi na watu kwa ujumla. Socialism ni mfumo sahihi haswa kwa nchi za Afrika ilikuwa pupa kwa nchi za Afrika...
  4. M

    Wasichana 72 huambukizwa VVU kila siku nchini

    Itakuwa Antony Mavunde anapewa taarifa za siri na virusi pindi waingiapo mwilini kwa wasichana kila siku
  5. M

    Petro Poroshenko, Rais wa Ukraine aanza kutetemeka

    Kama ulimsikia Putin alisema uchaguzi wa Ukraine unafanyika january na ktk wagombea poroshenko anashika namba 5 kwa polls na ushawishi sasa poroshenko kaamua kufanya uchokozi huo na baada ya reaction ya Russia akaweka martial law ili kutafuta kiki na kupandisha polls na ushawishi kuelekea...
  6. M

    Pompeo alaani vikali Iran kufanya jaribio la kombora lenye uwezo wa kubeba vichwa vya nyuklia

    Mike Pompeo siku ya leo amelaani vikali tukio la Iran kujaribisha kombora la masafa ya kati yenye uwezo wa kubeba vichwa vya nyuklia.Pompeo alizidi kusema kombora hilo linaweza kupiga popote mashariki ya kati na sehemu ya ulaya.Pompeo akiongea na waandishi wa habari alisema: "Tumekuwa...
  7. M

    Putin na Prince MBS wapeana tano huku vicheko vikitawala

    Siku ya jana Ijumaa kwenye mkutano wa G20 Rais Putin alivyokutana na Crown Prince MBS walipeana tano huku kicheko kikitawala.Mwana wa mfalme huyu amekuwa akipokea lawama kutoka kwa viongozi wa EU kutokana na kashfa ya kumuua mwandishi Khashoggi lakini Putin aonyesha hajastuka na kuonyesha furaha...
  8. M

    Mataifa ya Kiislamu yazidi kuiunga mkono na kuimarisha uhusiano wao na Israel

    Hizo nchi ulizozitaja zina military base za USA so ni ndege wafananao huruka pamoja
  9. M

    Babu na Lissu ndio wana siasa niliotokea kuwakubali sana

    Hawa ndio wana siasa niliotokea kuwakubali sana nchini Tanzania.Ni watu wa kipekee kabisa. 1.Wana reasoning capacity ya hali ya juu kabisa 2.Wana misimamo na wanasimamia kile wanachokiamini 3.Sio waoga na hawayumbishwi na wanajua kujenga hoja Natamani sana Lissu na yeye aandike vitabu ili...
  10. M

    Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

    Kwani Tpdf ndio wanaomlinda rais au psu kutoka Tiss Sasa TPDF wataumia vipi hapo mjomba
  11. M

    Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

    Ajabu ipo wapi mbona mwalimi nyerere alikuwa analindwa na polisi wa North korea miaka ya 80 kipindi coup zilikuwa zinashamiri
  12. M

    Tukio la Khashoggi lingefanywa na Iran,Dunia nzima ingemuwekea vikwazo Iran.

    Tumeshuhudia mara Kadhaa nchi za Saudi Arabia na Israel wakifanya uvunjifu lakini wamekuwa wakitetewa na kukingiwa kifua na USA. Kuna matukio mengi lakini ningependa leo kuelezea matukio ya kihalifu yaliyofanywa na ufalme dhalimu wa Saudi Arabia.Miaka ya nyuma Saudia Arabia ilituhumiwa...
  13. M

    Imepita miaka 37 Hatujajenga kiwanda cha pampu hakika Kim II-sung atakuwa anasikitika kaburini

    Mwezi march 1981 Mwalimu Nyerere alitembelea Pyongyang na kukutana na Comrade Kim ii Sung Rais wa Korea kaskazini ambaye aliyekuwa Swahiba wa mwalimu Nyerere Mwalimu Nyerere alimwambia Kim kuhusu uzalishaji wa Kilimo Tanzania na akaomba msaada kwenye sekta ya kilimo.Mwalimu alitaka msaada wa...
  14. M

    Iran yanyonga watu 2 kwa kosa la uhujumu uchumi

    Siku ya Jumatano serikali ya Iran iliwanyonga Vahid Mazloumin na Mohammed ismael kwa kosa la uhujumu wa uchumi. Mnamo tarehe 28 July Mazloumin alikutwa akihodhi tani 2 ya sarafu ya dhahabu na sarafu zingine nyingi wakificha ikisemwa lengo ni kutaka kuharibu uchumi wa nchi na kuyumbisha soko la...
Back
Top Bottom