mcomunisti halisi
Senior Member
- Jan 17, 2017
- 103
- 325
Siku ya jana Ijumaa kwenye mkutano wa G20 Rais Putin alivyokutana na Crown Prince MBS walipeana tano huku kicheko kikitawala.Mwana wa mfalme huyu amekuwa akipokea lawama kutoka kwa viongozi wa EU kutokana na kashfa ya kumuua mwandishi Khashoggi lakini Putin aonyesha hajastuka na kuonyesha furaha alipokutana na mwana wa mfalme huyo.
#PUTIN NA BRICS LEO KESHO WANAMTAMANI MBS KUELEKEA PROJECT YAO YA KUVUNJA WB NA IMF.
#PUTIN NA BRICS LEO KESHO WANAMTAMANI MBS KUELEKEA PROJECT YAO YA KUVUNJA WB NA IMF.