mcomunisti halisi
Senior Member
- Jan 17, 2017
- 103
- 325
Tumeshuhudia mara Kadhaa nchi za Saudi Arabia na Israel wakifanya uvunjifu lakini wamekuwa wakitetewa na kukingiwa kifua na USA.
Kuna matukio mengi lakini ningependa leo kuelezea matukio ya kihalifu yaliyofanywa na ufalme dhalimu wa Saudi Arabia.Miaka ya nyuma Saudia Arabia ilituhumiwa kufadhili wale hijackers walioangusha na kuharibu majengo pacha september 11 2001 lakini serikali ya US imekuwa ikiwatetea na kuogopa kuigusa serikali ya Saudi Arabia licha ya Congress kutaka serikali ya Saudi ichukuliwe hatua.
Juzi tumeona tukio la kinyama aliyofanyiwa Jamal Khashoggi na nyaraka za siri na uthibitisho umetolewa na dunia inajua ufalme wa Saudi Arabia ndio ulifanya unyama ule lakini US anamkingia kifua Saudi Arabia tunaona tena serikali ya Trump ikisema wazi wao na saudi ni marafiki na washirika na wanasaidiana kichumi na tutegemee kama miaka yote nothing will happen.
Lakini turudi nyuma US na UN wamekuwa wakiishambulia Iran sana na mengine ni ya kipropaganda sana mfano tumeona Iran waliingia Syria na kuwaondosha ISIS lakini propaganda zinatengenezwa kuwa Iran ana fadhili ugaidi wakati wao ndio walio wipe out isis syria.
Je hili Tukio la Khashoggi lingekuwa limefanywa na Iran unahisi kipi kingetokea kwanza US ingeshindikiza kila taifa lilaani tukio hili pia wangezidisha vikwazo na kutoa amri kwa mataifa mengine yaweke vikwazo kwa Iran na hata baraza la usalama la umoja wa taifa ungeitwa kwa dharura kuzungumzia ishu hio.
Tuache double standards
Tuache imperialism
Kuna matukio mengi lakini ningependa leo kuelezea matukio ya kihalifu yaliyofanywa na ufalme dhalimu wa Saudi Arabia.Miaka ya nyuma Saudia Arabia ilituhumiwa kufadhili wale hijackers walioangusha na kuharibu majengo pacha september 11 2001 lakini serikali ya US imekuwa ikiwatetea na kuogopa kuigusa serikali ya Saudi Arabia licha ya Congress kutaka serikali ya Saudi ichukuliwe hatua.
Juzi tumeona tukio la kinyama aliyofanyiwa Jamal Khashoggi na nyaraka za siri na uthibitisho umetolewa na dunia inajua ufalme wa Saudi Arabia ndio ulifanya unyama ule lakini US anamkingia kifua Saudi Arabia tunaona tena serikali ya Trump ikisema wazi wao na saudi ni marafiki na washirika na wanasaidiana kichumi na tutegemee kama miaka yote nothing will happen.
Lakini turudi nyuma US na UN wamekuwa wakiishambulia Iran sana na mengine ni ya kipropaganda sana mfano tumeona Iran waliingia Syria na kuwaondosha ISIS lakini propaganda zinatengenezwa kuwa Iran ana fadhili ugaidi wakati wao ndio walio wipe out isis syria.
Je hili Tukio la Khashoggi lingekuwa limefanywa na Iran unahisi kipi kingetokea kwanza US ingeshindikiza kila taifa lilaani tukio hili pia wangezidisha vikwazo na kutoa amri kwa mataifa mengine yaweke vikwazo kwa Iran na hata baraza la usalama la umoja wa taifa ungeitwa kwa dharura kuzungumzia ishu hio.
Tuache double standards
Tuache imperialism