Kwanini Tanzania na sio Cameroon: Imperialism and Barbaric actions against patriotism

mcomunisti halisi

Senior Member
Jan 17, 2017
103
325
IMPERIALISM AND PATRIOTISM

Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.

Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.

Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.

Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.

Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.

Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.

Je, hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.

Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.

Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.

Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.

Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.

Revolution is not a bed of roses. A revolution is a struggle between the future and the past.

-Fidel Castro
 
Uchambuzi mzuri sana.
Uzuri wa vita hii Jemedari wetu Mkuu mhe.John anamjua adui na mbinu zake zote.
Watashindana lakini hawatashinda maana hata yule aliyeijenga misingi ya ulimwengu yuko upande wetu.
Kikubwa ni Watanzania kuwa wazalendo atakayeleta usaliti afanywe kama Kashogi-yes kwa faida ya taifa.
 
Uchambuzi mzuri sana.
Uzuri wa vita hii Jemedari wetu Mkuu mhe.John anamjua adui na mbinu zake zote.
Watashindana lakini hawatashinda maana hata yule aliyeijenga misingi ya ulimwengu yuko upande wetu.
Kikubwa ni Watanzania kuwa wazalendo atakayeleta usaliti afanywe kama Kashogi-yes kwa faida ya taifa.
Wewe una matatizo sana!
 
IMPERIALISM AND PATRIOTISM

Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.

Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.

Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.

Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.

Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.

Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.


Je Hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.

Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.

Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.



Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.

Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.

Revolution is not a bed of roses.A revolution is a struggle between the future and the past.

-Fidel Castro
safi naunga mkono hoja asilimia 110%
 
fact kikubwa ni UZALENDO na kujitoa pia jiwe atoe uchama chadema pia kuna watu wazuri tu na wenye uwezo na tija kwa taifa kama ilivyo kwa dr slaa anavyopambana kuisafisha nchi huko alipo sijui ingekuwaje kama ubalozi wa slaa angekuwa nao serukamba au bashite huko
 
Unaujua msaada wa dola bilioni 27 ulivyo? Watu wanatuambia ukweli kuwa tunaminya haki za binadamu, na kweli sisi tunaona haki za binadamu zikiminywa lakini tunajitia kuwademonize hao watu wanaotujulisha hao.

Tunakimbilia China kama kama mtu aliyepata bwana mpya.
 
Kama wakiuzila basi tujiandae kukamuliwa hata kidogo tulichonacho kwa mtinfo wa kodi na tozo mbalimbali.
 
Hakuna kitu demokrasia duniani. Kila taifa lijiendeshe venye inaona inafaa. Mbona hata huko US hakuna demokrasia asilimia miamoja
Ni sawa na na kunikataza mimi nisikupe ushauri wa kutulia na mkeo kwa sababu mimi sijaoa....mxuuuu
 
Unaujua msaada wa dola bilioni 27 ulivyo? Watu wanatuambia ukweli kuwa tunaminya haki za binadamu, na kweli sisi tunaona haki za binadamu zikiminywa lakini tunajitia kuwademonize hao watu wanaotujulisha hao.

Tunakimbilia China kama kama mtu aliyepata bwana mpya.
Umetolewa mifano ya nchi zinaziminya democracy lkn hutaki unalazimisha kuvaa miwani ya mbao. Huko Uganda au Rwanda kuna democracy?Yaani umeshindwa hata kurudi Zimbabwe kilichomtesa Mugabe ni nini?Mtu mweupe kamwe hawezi kuwa na huruma na ngozi nyeusi.Oooh wanatupigania democracy, Mzungu akupiganie wewe?Yalikuwepo mabomu ya Arusha, kuteswa kwa kibanda, Ulimboka, kuuawa kwa Mwangosi na kupigwa vita kila siku kwa mikutano ya siasa. Je uliona matamko tuka huko Ulaya?Jibu ni Hapana na hoja ilikua ni UONGOZI uliokuwepo uliwawezesha KULA WATAKAVYO. Democracy haijaanza kuvunjwa leo,So hizi ni HASIRA za kubanwa tu.Najua vita ni ngumu lkn jpm kathubutu
 
Umetolewa mifano ya nchi zinaziminya democracy lkn hutaki unalazimisha kuvaa miwani ya mbao. Huko Uganda au Rwanda kuna democracy?Yaani umeshindwa hata kurudi Zimbabwe kilichomtesa Mugabe ni nini?Mtu mweupe kamwe hawezi kuwa na huruma na ngozi nyeusi.Oooh wanatupigania democracy, Mzungu akupiganie wewe?Yalikuwepo mabomu ya Arusha, kuteswa kwa kibanda, Ulimboka, kuuawa kwa Mwangosi na kupigwa vita kila siku kwa mikutano ya siasa. Je uliona matamko tuka huko Ulaya?Jibu ni Hapana na hoja ilikua ni UONGOZI uliokuwepo uliwawezesha KULA WATAKAVYO. Democracy haijaanza kuvunjwa leo,So hizi ni HASIRA za kubanwa tu.Najua vita ni ngumu lkn jpm kathubutu
Madictator sikuzote huaminisha watu wao kuwa kuna maadui wa nje hawawatakii mema na pia kuna watu ndani ya nchi wanatumiwa na maadui wa nje.Kwa kuaminisha watu hivyo huendelea kukaa madarakani na kujustfy matendo yao.
Kwani hawezi pigana hiyo vita ya kiuchumi bila kuingilia mikutano ya kisiasa, kusweka ndani wanasiasa, wanasiasa kupotea, kupigwa risasi, kubadili sheria za takwimu nk?
Pia Uganda au Rwanda wakiharibu na kutoambiwa haamaanishi na wewe ukikosea usiambiwe. Kuna wengine hawaambiwi sababu wanaonekana wameshakuwa doomed, hawarekebishiki. Mtu akikushauri ujirekebishe ujue ameona una uwezo wa kufanya makubwa.

Endeleeni na Rafiki wa dhati kutoka China, Siku wakishika uchumi wote ndiyo muanze kulialia.
 
IMPERIALISM AND PATRIOTISM

Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.

Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.

Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.

Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.

Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.

Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.


Je Hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.

Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.

Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.



Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.

Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.

Revolution is not a bed of roses.A revolution is a struggle between the future and the past.

-Fidel Castro
So tukae bega kwa bega na Jamhuri ya Uchina ?? Au uzalendo unao utizamia ni wa aina gani??
Na je nchi zinazotusaidia bila kujali ukiukwaji wa haki za binadamu zina malengo gani hasa kuna hisani yeyote ambayo haina njama nyuma ya pazia?

Kwanini wabaya wawe wa magharibi tu na haya mataifa ya mashariki na urusi yaonekane yana lengo zuri??

Ebu tuache kutukuza wachina jamani wanatuletea makorokoro mengi wanatutia gharama Mara mbili
 
IMPERIALISM AND PATRIOTISM

Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.

Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.

Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.

Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.

Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.

Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.


Je Hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.

Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.

Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.



Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.

Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.

Revolution is not a bed of roses.A revolution is a struggle between the future and the past.

-Fidel Castro
Tunatasana, tunabaguana, tunapigana risasi na kuuana/kupotezazana(liquidation) wenyewe kwa wenyewe halafu unakuja na cheap phrase eti patriotism. Acha watumie huu mpasuko uliotengenezwa na dola kwa manufaa yao, watu wame'suffer to the limit hivyo hawajali tena gharama itakayo igharimu nchi as long as the leadership learns a lesson.
 
IMPERIALISM AND PATRIOTISM

Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.

Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.

Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.

Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.

Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.

Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.


Je Hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.

Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.

Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.



Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.

Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.

Revolution is not a bed of roses.A revolution is a struggle between the future and the past.

-Fidel Castro

Kwanza kama mtu mwenyewe unajiita M-communist tu tayari na reserve my comment for f.uck's sake!

Usitumie makosa ya wengine kuhalalisha makosa yako!

Eti fulani kaua watano mimi nimeua wawili,hivyo sijafanya kosa...What the f.uck is this?

EU wametoa valid points zinazotugusa jiwe anazifanya kutuumiza,solution ni yeye kuzirekebisha,full stop!

Hayo madini,makinikia,EPA,etc ni mavi kwa wananchi ambao hawana uhuru...Jiwe hana option,aturudishie demokrasia yetu,uhuru wetu,haki zetu,katiba yetu,etc na hayo mengine ya makinikia na nini afanye ni kazi tulimpa!

Usituletee sababu za kipumbavu kabisa,wewe ukitupa uhuru wetu wananchi tuna shida gani na wewe kufatilia hayo mengine ya kiuchumi?

Mmeshikwa na makosa,rekebisha kila kitu then EU akose cha kukutuhumu,tubakie kwenye vita ya madini basi!Sio haramia watu unavyojisikia halafu unatusingizia makinikia,rubbish!
 
Umetolewa mifano ya nchi zinaziminya democracy lkn hutaki unalazimisha kuvaa miwani ya mbao. Huko Uganda au Rwanda kuna democracy?Yaani umeshindwa hata kurudi Zimbabwe kilichomtesa Mugabe ni nini?Mtu mweupe kamwe hawezi kuwa na huruma na ngozi nyeusi.Oooh wanatupigania democracy, Mzungu akupiganie wewe?Yalikuwepo mabomu ya Arusha, kuteswa kwa kibanda, Ulimboka, kuuawa kwa Mwangosi na kupigwa vita kila siku kwa mikutano ya siasa. Je uliona matamko tuka huko Ulaya?Jibu ni Hapana na hoja ilikua ni UONGOZI uliokuwepo uliwawezesha KULA WATAKAVYO. Democracy haijaanza kuvunjwa leo,So hizi ni HASIRA za kubanwa tu.Najua vita ni ngumu lkn jpm kathubutu

Sawa, hivyo vita ndio vinafanya mkulu achezee box la kura kwa faida ya ccm? Ule wizi wa mabox ya kura ili ccm itangazwe washindi ni sehemu ya hiyo vita ya propaganda mfu? Ule ukatili anaoagiza mkulu kwenye box la kura kwa faida ya ccm una ulazima wowote kisa hiki Cameroon, Uganda nk wanafanya hivyo hivyo? Ajirekebishe aheshimu box la kura ili wananchi wote tuwe kitu kimoja dhidi ya hao wazungu. Sio kuongoza kwa itikadi kisha mtarajie tuwe pamoja. Dhuluma haimuachi salama.
 
Back
Top Bottom