mcomunisti halisi
Senior Member
- Jan 17, 2017
- 103
- 325
IMPERIALISM AND PATRIOTISM
Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.
Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.
Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.
Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.
Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.
Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.
Je, hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.
Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.
Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.
Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.
Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.
Revolution is not a bed of roses. A revolution is a struggle between the future and the past.
-Fidel Castro
Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.
Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.
Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.
Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.
Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.
Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.
Je, hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.
Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.
Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.
Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.
Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.
Revolution is not a bed of roses. A revolution is a struggle between the future and the past.
-Fidel Castro