Muhimu ni wahudumu na madaktari waliopo kwenye system kwanza waanze kuwezesha watoe huduma kabla ya wahitimu kuhitimu Ili kusaidia kukabili tatizo la Afya ya akili linaloendelea kuwa kubwa Sana ndani ya nchi
Huyo ameshafika stage ya mbali (perforation stage) of course hiyo ni consequences ya vidonda visipodhibitiwa mapema kwa matibabu na life sytle especially diet
Hilo nalo
Alafu Mganga mfawidhi hawezi kuzunguka kila section muda wote wakati Kuna majukumu mengine yanaendelea kumkaba na ni majukumu ya wizara huku akitakiwa taarifa zake zifike immediately.
That's not fair. Then amejaribu hata kuangalia walioko zamu kuwa nao walikuwa na Majukumu gani? Maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.