Recent content by mchwa

  1. M

    Kuitwa Kazini NSSF

    usemalo ni sahihi coz nasema hivyo kutokana na experience ya kazi niliyonayo. rafiki zangu wote walioitwa ni wa dini moja na tunafanya kazi the samw department so najua nikisimacho kijana udini nssf upo na kila mtu anajua
  2. M

    CRDB na undugu kwenye Ajira

    Kaka yaelekea unazungumza pasipo kufanya tathmini ya kina.yawezaje utoe wazo la mtu kufanya biashara wakati hata pesa ya kupiga copy hana? hakuna anayependa kuajiliwa hata siku moja .Ajira za sasa ni utumwa angekuwa na pesa ya mtaji asingeweza tafuta pesa.msg yake yaonyesha kuwa yupo desparate...
  3. M

    CRDB na Stanbick wapi wanalipa zaidi?

    Yaelekea wewe ni freshers from university unaulizia mishahara na kazi huna .ukishaambiwa mishahara then,,,
  4. M

    je ni kiongozi gani wa serikali mwenye sifa hizi?

    Mwenye mapenzi ya kweli na dhati na kujivunia Utaifa wake Mwenye kujali na kulinda maslahi ya Taifa lake na watu wake Mwenye uwezo wa kupanda mbegu imara ya Uzalendo kwa kila mwananchi bila kujali itikadi, rangi, kabila, dini, elimu, umri au jinsia Mwenye uwezo wa kuhamasisha na...
  5. M

    Serikali yatakiwa kutupia macho hizi recruitment agency......chanzao cha umaskini hawa.

    Waungwana khabari zenu na pole na mchakato wa maisha? Hakika serikali yetu inatupeleka mahala pabaya sana hasa huu umoja wa EAST AFRICAN COMMUNITY.leo hiii wa kenya na waganda wanakuja Tanzania kufungua recruitment agency Tanzania,wanaajili waTanzania kwa ujila mdogo ka kutoa terms and...
  6. M

    Kuitwa Kazini NSSF

    Hakika tanzania imevaaa kaptula ,watu wema kwa sasa hawapo na waliopo hawana alama.Ajira zimekuwa zina udini,ukabila,na gender.nilipo ambiwa Nssf kuna udini niligoma ila kwa watu wote ambao wameitwa ninao wajua nimeshika hatamu.mungu wetu ni mwema na ridhiki popote kwa mapenzi yake mola atafanya...
  7. M

    Edward Moringe Sokoine 1938-1984 | Historia na wasifu wake

    Tumeruhusu walanguzi na wahujumu uchumi kuongoza nchi, wananchi wamefikia mahali ambapo wanashindwa kutofautisha kati ya viongozi wa chama na serikali na walanguzi na wahujumu uchumi wa nchi”. Walanguzi na wahujumu uchumi wote ni maadui wa taifa, ni lazima kuwapiga vita na kuwatokomeza...
Back
Top Bottom