CRDB na undugu kwenye Ajira

ww mwanaume mzima unakaa unaleta majungu na ubea hapa jf, mm ni 1 ya walioajiriwa mwezi huo uliopita na sina ndugu wala sikuwa namjua m2 kabla ila uwezo wangu wa kujieleza ndani ya intrvw na vyeti vyangu ndo vimeniingiza na mm sio kabila la kimei. siku hizi ni kampuni nyingi sana haswa mabank huwa hawatangazi kazi ila wanaita wale ambao walipeleka barua. ww unasubirie kazi eeee? km unataka kazi lazima uchakarike na sio ukae km mwanamke anaesubiria kuolewa

acha uwongo wewe, ulipoandika barua yako haukueka referee ambae at least ana undugu au kufahamiana na kimei? yupo dada mmoja amesoma diploma ya ualimu lkn kwa vile yeye ni mmarangu amepewa AJIRA crdb wakati hana sifa za kufanya kazi benk
 
Nina maswali ya kumuuliza mwanzisha mada,
Mlipokuwa mnafanya field au kujitolea katika branch za crdb, mliingia makubaliano yeyote kwamba baadaye mtaajiriwa na Crdb?
Watu waliopewa ajira una uhakika kuwa hawana vigezo vya kukuzidi wewe?
Unajua waliopeleka maombi ni wangapi?

Pia labda kwakuwa wameona utendaji kazi wa hao waliofanya field na wanaojitolea hauridhishi?
 
acha uwongo wewe, ulipoandika barua yako haukueka referee ambae at least ana undugu au kufahamiana na kimei? yupo dada mmoja amesoma diploma ya ualimu lkn kwa vile yeye ni mmarangu amepewa AJIRA crdb wakati hana sifa za kufanya kazi benk

Mimi kuna watu nawafahamu vizuri, wameajiriwa bila kufahamiana na mtu yeyote pale, lakini pia waliwahi kuja chuo wakitaka mwalimu awape majina ya vijana watatu wanaofanya vizuri ili wapewe ajira!
 
kwa wadau ambao mna fuatilia haya mambo ya ajira hawa jamaa wameajiri watu mwezi huu, lakini wameacha malalamiko mengi.
wadau wanauliza kwani walitumia vigezo gani? maana kama sifa wapo wenye sifa mpaka za ziada lakini hata kuitwa hawakuitwa,
wengi kati ya wanaolalamika ni wale waliofanya field hapo hapo crdb, na wengine baada ya kumaliza chuo walienda kujitolea kwenye branch za bank hiyo lakini cha kushangaza pamoja na kutuma maombi wameshangaa kuona kimya huku wakishuhudia wenzao wameajiriwa, huku wenyewe bado wanasugua bench.

yawezekana hao jamaa interview yao ilishafanyika tokea wapo field kwenye hizo brunch mkuu, so haikua na sababu ya kuwarudisha manake huenda mwanzoni waliumiza sana kichwa namna ya kuwakatishia field yao, mtazamo tu eroo
 
kwa wadau ambao mna fuatilia haya mambo ya ajira hawa jamaa wameajiri watu mwezi huu, lakini wameacha malalamiko mengi.
Wadau wanauliza kwani walitumia vigezo gani? Maana kama sifa wapo wenye sifa mpaka za ziada lakini hata kuitwa hawakuitwa,
wengi kati ya wanaolalamika ni wale waliofanya field hapo hapo crdb, na wengine baada ya kumaliza chuo walienda kujitolea kwenye branch za bank hiyo lakini cha kushangaza pamoja na kutuma maombi wameshangaa kuona kimya huku wakishuhudia wenzao wameajiriwa, huku wenyewe bado wanasugua bench.



...hii habari inanifanya niamini sasa maana hapa kigoma kuna mwanamke aliajiriwa na uwezo wake ni poor sana na ameishalalamikiwa na watu wengi anavyofanya kazi zake,inasemekana boss wake alikuwa anapona pale na ndo maana waliachwa watu wenye uwezo kumzidi akapewa yeye kazi,kama wewe uko kigoma na una account crdb utakuwa unamjua anajifanya mrokole kwa kuficha anachokifanya miezi iliyopita alikuwa kwenye crdb mobile ambayo iko kasulu...hii inanifanya niamini huyu dada hafai kufanya kazi hata kwenye ofisi ya mpesa,
 
Mtoa mada unaonekana hizi taarifa kama hujazitoa kijiweni basi una sababu binafsi na hii benki. Kwa taarifa tu pale hr wanapokea cv zaidi ya 700 kwa mwaka na mahitaji yao hayafiki idadi hiyo. Sasa kama wapo cost conscious sidhani kama kuna umuhimu wa kutangaza na badala yake wanachagua kati ya zile na kuwaita watu kwenye usaili.
Hiyo field attachment na branch manager ni uongo mtupu, field zinatolewa makao makuu tu kwa ruhusa ya mkurugenzi rasilimali watu, asa hizo ahadi mnazoahidiana na manager haziwezekani labda alikudanganya.
Nakushauri kwako na kwa ambaye yupo interested,nenda pale makao makuu(azikiwe street-jengo la azikiwe branch) ghorofa ya nne uiache cv yako, kama imekaa sawa watakuita japokuwa haitakuwa mapema. Wana jf tuache mambo ya kuzua, hayatusaidii.
 
Kaka yaelekea unazungumza pasipo kufanya tathmini ya kina.yawezaje utoe wazo la mtu kufanya biashara wakati hata pesa ya kupiga copy hana? hakuna anayependa kuajiliwa hata siku moja .Ajira za sasa ni utumwa angekuwa na pesa ya mtaji asingeweza tafuta pesa.msg yake yaonyesha kuwa yupo desparate anahitaji faraja so u beta b careful unapo toa advice na si vyema ukatoa commment ilimradi umeandika.
 
si 2 mabenk bt any wea undugu na kujuana mimi crdb nimepeleka sana bt mpaka nw hola, bt cshangai hata mimi nkipata kaz ntakua naajir ndugu na naowajua.
 
Huhitaji mtaji kuanzisha biashara! Unatakiwa tu kuwa na "idea" halafu financing itafuata. Ukiwa na idea ambayo ni nzuri na itakayoleta faida, wapo watu wengi tu wenye pesa wanatunza benki huku wakitozwa gharama za kuzitunza huko watawekeza! The issue here is are you ready to start your own business?! Starting a new business is both exciting and rewarding, but it is also full of challenges. Na kutokuwa na mtaji is one of the changamoto.

Kjiajiri kwa kuanzisha biashara inahitaji kwanza uwe na positive attitude na ujuzi wa kuanzisha biashara. This means being honest about a range of issues - your knowledge, your financial status and the personal qualities that you can bring to your new business. Commitment, drive, perseverance and support from family and friends will go a long way towards transforming your business idea into reality and will be especially important during the early days.

Inshort, mtaji sio big deal when it comes to staring business! Waulize all sucessful people in business hata hapa tanzania hawakuanza na mtaji! So mtaji should not be an excuse. Tatizo letu kubwa ni uvivu na uoga wa ku take risk. In fact mtu unaweza kutumia pesa zako ulizodunduliza ukiwa chuo (tatizo tunapokua chuo hatuweki akiba yeyote kwa sababu tunakuwa na ndoto za kupatan kazi mara tunapo graduate, hatufanyi vibarua wakati wa likizo na wale tunaofanya pesa tuitumia kurudisha heshima baa), waweza kopa benki (kisingizio kitakua hatuna colletrals lakini kama unaaminika huwezi kosa wazamini like family members), kupata mikopo rahisi toka kwa ndugu jamaa na marafiki (tatizo hatuna tabia ya kudevelop networks na wengi wa marafiki zetu ni watu wa hovyo hovyo tu wasio na msaada. lakini kama tukiwa na newtwork for example with seniors tuliowakuta chuo, by the time tunaingia mtaani wao wanakua somewhere so ni rahisi tuwa pertners). Twaweza pia ku attract investors kama ndugu jamaa na marafiki wenye pesa lakini hawana good ideas, pia kuna grants na misaada ya serkali na mshirika. kwa mfano recently kumekua na programmes pare UDSM Business School na COSTECH ambapo wanawasaidia wajasiriamali kuendeleza biashara zao!

Tutadai hawa wote wana undugunaization lakini je tumechukua hatua yeyote kujaribu! make hata wakikufanyuia mizengwe, mimi naamini siku moja utafanikiwa tu! si wote muwaonao waliofanikiwa wana godfathers and godmothers. Cha msingi ni deternination na kuacha kulalamika na badala yake kujaribu.










MINAONA TUNGE JADILI MADA KAMA ILIVYOLETWA NA MUANZISHAJI BADALA YA KULETA POROJO HIZI NYINGINE.


Hayo maneno tu Lakini hayana utekelezaji.

Kama Hauna Kitu BASI HUWEZI UKAPATA MSAADA WA KITU.

TUKUMBUKE KUWA :

haya maisha tu tusichekane ila tuombeane baraka kutoka kwa mungu baba
 
Back
Top Bottom