Recent content by mchungupwani

  1. M

    Nahitaji mke wa 4

    Jamani mi natafuta mke wa 4 humu Jf awe mn'gavu mnene wa wastani mwenye umri usiozidi 30 awe Muislamu.
  2. M

    Msaada: Wapi naweza pata asali inayoitwa Sidr Honey toka Yemen

    Ndugu yangu muweka mada umechanganya kati ya vitu viwili tofauti 1.Asali in kitu kingine 2.Na sidri ni jina LA mti maarufu kwa hapa kwetu huo mti tunaita mkunazi .labda useme unataka Asali inayotokana na mti wa mkunazi(sidri) kwa maana asali ilio linwa kutoka katika mti huo. Ama kuhusu Asali...
  3. M

    Dawa ya meno au dawa ya mswaki?

    Kipi kiswahili sahihi kati ya kusema dawa ya meno au dawa ya mswaki? Kama ni dawa ya mswaki kwani mswaki unaumwa nini ? Kama ni dawa ya meno kwa nini ukienda hospitali ukiwa unaumwa meno hupewi colgeti. Karibuni wadau!
  4. M

    Mume wa kiislam anahitajika

    Jamani mi natafuta taal mai pm
  5. M

    Mume wa kiislam anahitajika

    Mi nipo Tatar Nina vigezoفضلي معي
  6. M

    Nahitaji mke wa nne

    Kutokana na kuwa wanawake ni wengi mno kuliko wanaume na wanawake wengi hawajabahatika kuolewa japo hata mara moja tangu wazaliwe na wanahitaji kuolewa ila wakuwaoa hakuna na huenda wakaondoka katika dunia hii hawajawahi kuolewa natangaza rasmi nina nafasi moja ya kukamilisha wa nne alie tayari...
  7. M

    Aina za Ubani na kazi zake

    Hodi hodi hodi . Ubani upo wa aina mbili wenye harufu mzuri na wenye harufu mbaya . Kuna viumbe kama binadam hupenda huo wenye harufu mzuri ama mashetani hupenda huo wenye harufu mbaya .laikini pia ni chakula cha mashetani kwa hiyo hutumika katika kuwaita mashetani ili kuwatuma kazi malumu kama...
  8. M

    Nini sababu ya wanaume wengi kutamani sana wanawake mwenye makalio makubwa?

    ah unajuwa watu wanatotautiana kuna watu wan endesha magali makubwa na wengine hawezi na wenginae wanapenda vx na wanweza kuzihudumia ila kama wewe uwezo wako mdogo huwezi kuhudumia vx nadhani utawaona ni mafisadi wale wenye ma vx sasa cc uwezo wetu upo juu acha tutumie ma VX
  9. M

    Nimegundua faida mpya ya asali ndani ya mwili wa binadamu

    Ah huo sio ugnduzi huko ni kusema yalio semwa na walio pita lete tafiti zako hapa tuoneshe majaribio nk
Back
Top Bottom