Mume wa kiislam anahitajika

Mume wa kiislam anahitajika

Mwanaume wa kiislam mwenye umri kuanzia miaka 30 na kuendelea, anaejua dini na maana ya Uislam, mwenye kufuata misingi ya dini ya kiislam anahitajika hapa, nina miaka 28 ila sina mume kwani sijapata kila anaenifata hana sifa tajwa hapo juu .

mpz ukishapata yule second best naomba unipe mana natafuta vigezo sawa sawa
 
Kwani shehe wako amesema hakutaki. Mwambie huyo atakufaa zaidi. Au nenda pale msikiti wa Kwamtoro baada ya swala ya ijumaa, halafu sema watafuta mume. Hapo utapata hata zaidi ya mia.
 
Kwani shehe wako amesema hakutaki. Mwambie huyo atakufaa zaidi. Au nenda pale msikiti wa Kwamtoro baada ya swala ya ijumaa, halafu sema watafuta mume. Hapo utapata hata zaidi ya mia.

watu kama wewe duniani wapo
 
assalam alaykum. shukran jazila kwa ujumbe wako hebu nitafute kwa no0652766510 انشا اللة kama ni rizki allahu huwa muufik
 
Ni wachache sana wanaume waislam mwenye kufuata misingi ya dini haswa kukaa mpaka miaka 30 hawajaoa, kwani kuoa mapema ni sunnaa..mtu mwenye miaka zaid ya 30 then hajaoa kuna uwezekano anazini, sasa kama anazini(kufanya mapenz bila ndoa) hapo kuna misingi ya dini dada yangu..hvo bado utakuwa na kazi ngumu kumpata huyo mwanaume labda uwe mke mwenza. Punguza vigezo watu wakamate fursa.

Umenena vizuri ndugu
 
As'salaam Alayk.. Weka cv yako ili muoaji amjue anayekutana nae..

Hawezi kuweka cv yake hadharani especially kama ni dada wa kiislamu mwenye maadaili. kama kuna alie interested amfuate pm wakapeane cv huko
 
Hawezi kuweka cv yake hadharani especially kama ni dada wa kiislamu mwenye maadaili. kama kuna alie interested amfuate pm wakapeane cv huko

Ukifika huko pm atakuambia huna sifa vile vile bora aweke cv yake hadharani nae tumpime maadili
 
Aiseeeee!!! Kumbuka mchagua Nazi mwishowe huchagua koroma vinginevyo nipm nikupe ushauri
 
Ukifika huko pm atakuambia huna sifa vile vile bora aweke cv yake hadharani nae tumpime maadili

mkuu. mimi sion unataka aweke cv hadharan upime nini kwake? labda kama wew si muislam ila ukiwa muislam kamili huwezi kumdhalilisha akuwekee cv hapa
 
Ras wiser umenichekesha sana hahahaha jamni watu mna maneno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom