Recent content by mchumikachoka

  1. M

    Mwanajeshi aua Pugu-Kigogo

    kilajambo linasababu ya kutokea. vijana jifunzeni kupitia hilo
  2. M

    Kipindi cha 'Wanawake Live' na madhara yake

    Naunga mkono lengo la kumkomboa mwanamke hususan wa tz na harakati zake kwakuwa kinamama ndo msingi wa familia bora. lakini napenda kukosoa ktk upande wa namna ya kuwasilisha hususan ktk tv. tuelewe kuwa tv inatazamwa na maelfu ya watu wenye maadili ya ki tz na waliovurugwa ki western. kibaya...
  3. M

    je, nikweli watz tunashindwa kumiliki asilimia za hisa (hata 10) ktk uchimbaji wa mafuta na gesi?

    mtazamo wa viongozi wasemao hatuna uwezo wanaangalia mtu binafsi kama chanzo cha mtaji. lakini uwekezaji mkubwa unaweza kufanikiwa kuuza hisa hisa. kwa mfumo wa hisa asilimia ya wa tz wenye millions and billions wangepata share ktk uwekezaji na atimae kupata faida kulingana na asilimia za mtaji...
  4. M

    Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

    Kama kweli vile! Eti akina baba nanihii mnafanyaje my wife zenu wakigoma? Halafu nasikia wenyemagari ndo mnaongoza kwa kufanya kama mmekosea njia, nawengine kama mnawahi foleni alfajiri au kusingizia foleni kumbe mama nanihii kakunyima unapitia viwanja kupoza
  5. M

    Its funny but very true: Wachumi wa Tanzania karibu wote ni vichaa,wanasiasa wa hovyo..Kwanini?

    Mchumi ni mtaalamu aliejikita ktk elimu ya mbinu za kuelekeza rasilimali katika shughuli au sehemu ambayo itaboresha maisha ya wanadamu na kupata maendeleo endelevu.hao wataalam ndio wanaoandaa sera/policy, na tanzania inaongoza kwa kuwa na sera nzuri ila utekelezaji ambao ni kupeleka lasilimari...
  6. M

    mabango ya kujiunga na free mason

    Wajinga ndo kipato chao
  7. M

    mabango ya kujiunga na free mason

    Wajinga ndo kipato chao
  8. M

    Neema zaidi kwa watanzania-Survey shows huge gas, oil potential at Kilosa-Kilombero

    Ni furaha kusikia hilo ila matumaini ya kuboreka maisha ya mtanzania ni ndoto. Jinsi usanii ulivyotawala tusitegemee kushuka kwa bei ya nishati nchini coz tutaambiwa gharama za uzalishaji ni kubwa na kuishia kupata kodi ya asilimia 3 kama ilivyo kwenye madini. We need to change the system to...
  9. M

    Mshahara wa mwezi wa waziri mkuu ni sawa na mshara wa zaidi ya walimu 50

    This generation bwana! Inanipa raha. Watu hawaogopi kuchafua hali ya hewa,saizi wahusika pua juujuu. Kamunyungi on the way
  10. M

    Mkurugenzi wa Bagamoyo aliyesimamishwa kwa ajili ya Ufisadi arudhishwa kazini!

    Kamunyungi kamali kubungula, pelekisa hinu
  11. M

    wataalam wa uchumi Tanzania wanafanya nini ?

    Kimsingi, maendeleo ya kiuchumi ndio hupelekea kuwepo na ubora katika huduma za kijamii. Kwasababu uchumi mzuri hupelekea kuwepo na uzalishaji katika viwanda, kilimo, biashara na sector nyingine. Kupitia production wafanyakazi hulipwa mishahara na hatimaye serikali hupata kodi mojakwamoja au...
Back
Top Bottom