Waligoma walimu wakitaka nyongeza ya mshahara na kima cha chini cha 350,000 kwa mwezi, jk akasema serikali haina hela hiyo hata wagome mwaka mzima leo wengine lak 3 kwa siku ndani ya nchi moja kweli?
Wanajamvi nawasalimu,hivi kama wajumbe wa bunge maalumu la katiba wanamamlaka ya kubadili hata rasimu yote na kuandika wanachoona wao kinafaa tafsiri yake ni kwamba tume ya jaji warioba haikuwa na umuhimu na hata haikustahili kuwepo kabisa na wajumbe wa bunge la katiba ndo hao tangu wameanza...
Wanajamvi nawasalimu,hivi kama wajumbe wa bunge maalumu la katiba wanamamlaka ya kubali hata rasimu yote na kuandika wanachoona wao kinafaa tafsiri yake ni kwamba tume ya jaji warioba haikuwa na umuhimu na hata haikustahili kuwepo kabisa na wajumbe wa bunge la katiba ndo hao tangu wameanza kikao...
Kwanza kabisa mi niseme mtoto kumjali mzazi/wazazi ni malezi na akili ya mtoto mwenyewe,maana kama mtoto kwenda shule tu alilazimisha tu na uwezo wa kwenda shule ulikuwepo ila baba kwa sababu zake mwenyewe hajamlea vizuri unategemea akujali,lakn tusipe baya kwa baya.
Habari gani wanajamvi?,kuna madhara gani kwa mwanaume kuoga maji ya moto kwa upande wa mfumo mzima wa uzazi? kwani inasemekana eti corodani hazitaki joto ndo maana ni organ iliyoko nje. naomba kuwasilisha.
Alikuwa snajipendekeza kwa bidada,cha msingi hapo aachane naye kwani huwezi lazimisha kupendwa,ila si kuna rafiki zake bidada yupo ambaye alikuwa anatamani uhusiano wao ili aumie.Bora kupendwa kuliko kupenda!!!!
huyu jamaa anapropaganda,yeye ni katibu wa itikadi na uenezi wa uv-ccm sasa baada aeneze ya kueneza badala yake anasema chadema ni chama cha matukio na yakiisha na chama hakipo tena,anasema ziara walioanzisha watazungumzia op tokomeza,sasa kazi ya chama kinachokuwa upande wa upinzani nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.