Recent content by Mchizi

  1. Mchizi

    TANZIA Muigizaji Chuck Norris afariki dunia akiwa na miaka 86

    Empire ilikuwa posta mpya Azikiwe/Jamhuri
  2. Mchizi

    Hatua Gani Zinachukuliwa Igundulikapo Tatizo la Afya ya Akili kwa Kiongozi?

    Labda huko duniani ndo watachukua hatua, ila Africa hata Rais avue nguo hadharani hakuna kitakachofanyika kwa jinsi Raisi anavyoogopwa
  3. Mchizi

    Producer maarufu nchini, Master J, adai ana viwanja zaidi ya mia moja huko kigamboni.

    No, Mwalimu likuwa sahihi. Kwa ubinafsi tunaouona kwa viongozi wa miaka hii, kama hawa ndio wangeanza kutawala wao basi ardhi yote nchi hii huenda ingekuwa inamilikiwa na familia 2 au 3 za viongozi, na wananchi waliobaki wangebaki kuwa wapangaji .
  4. Mchizi

    Kwanini Rais Hatembei na Mume wake? CCM Haina washauri wa maadili?

    Ndio maana wanaume tunakufa mapema, huenda mwenzetu anapitia mengi
  5. Mchizi

    Producer maarufu nchini, Master J, adai ana viwanja zaidi ya mia moja huko kigamboni.

    Enzi zile za sisa za ujamaaza CCM huyu jamaa ngeitwa kabaila
  6. Mchizi

    Akutwa na ndoo za kinyesi na mikojo ndani. hivi hili ni tatizo ugonjwa wa akili?

    Haya mambo yamekuwa yakijirudia rudia , ilitokea Ilala miaka ya nyuma, kisha la mwalimu wa Kibasila Mwalimu wa Kibasila aishi na kinyesi chumbani kwake kwa miaka miwili
  7. Mchizi

    Sababu gani hupelekea watu kujenga na kuishi juu ya milima katika jiji la Mwanza? Maisha ya makazi huko milimani huwa yakoje?

    Wewe ulitaka sababu ya kujenga na si nani anateseka zaidi. Maana yake ndio sehemu zenye maeneo nafuu kwa uwezo walionao. Na kama hoja ni milimani basi jaribu kuizunguka dunia uone nchi nyingi n nyumba zimetapakaa milimani, kama Rio De jeneiro brazil, Norway pia labda tu tofauti Norway ni...
  8. Mchizi

    GE2025 Mbona Rais Samia anahutubia wafuasi wake akiwa anahema sana, yuko sawa kiafya kweli?

    Haiwezekani umri ule,mwili ule halafu asiwe na BP au kisukari au vyote
  9. Mchizi

    Chuo gani kwa hapa Dar es salaam kinachofundisha filamu katika ubora mzuri?

    AI anakufundisha na ukitaka cheti anakupa
  10. Mchizi

    Naomba msaada wa afya naombeni msaada

    Acheni uzushi nyie.
Back
Top Bottom