Recent content by Mchizi

  1. Mchizi

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Hiyo taarifa yenu mliyowasilisha huko ingeambatana na fedha za kuwalipia dialysis watu walioathilika na hiyo mipombe yenu
  2. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Ijue Airbus A380 dege kubwa zaidi duniani la abiria. Dege lililosheheni starehe zote za peponi Fardaus

    Hizi ndege walitangaza huenda wangesitisha uzalishaji wake mwaka 2021 kutokana na soko lake kuwa gumu.Zilikuja kui challenge boeing 747 ambao nao walikuwa wasitishe uzalishaji wake by 2022 https://www.aeroflap.com.br/en/production-of-the-airbus-a380-may-end-before-the-boeing-747/
  3. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Kama ulikuwa hujui kuwa Dar es Salaam kuna sehemu kuna bomba kubwa limeingia baharini, wacha nikufahamishe...

    Mwanza ilikuwa zamani ndio maji machafu ya mji yalikuwa yanaingia moja kwa moja ziwani ila mwaka 2000 EU walitoa msaada wa ufadhili wa huo mradi hivyo maji yote ya sewege kabla ya kuingia zwani yanafanyiwa treatment kule Ilemela saba saba kuna mabwawa yanayopokea hayo maji machafu...
  4. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Sasa rasmi maisha yamekuwa magumu mno Kwa mwananchi wa kawaida Kila kitu bei juu ili hali kipato kiko palepale

    Wakati ukitafakali, pata burudani https://www.youtube.com/watch?v=oJ9iSL0Xuns
  5. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Spika Zungu awataka Mawaziri na Watendaji wote kuiga mfano wa Rais katika kubana matumizi ya Serikali

    Kumuiga mtu huyo maana yake nao wakisafiri wasafiri na watoto wao kwa gharama za umma
  6. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Kumbe Wanawake Wembamba wanaenda gym kutafuta wanaume!

    Kwani mo Dewji alitekwwa akiwa wai?
  7. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Wachina wadaiwa kuwapiga vibaya Watanzania

    Labda mlitaka kuwachinja mkazidiwa nguvu
  8. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Mwamuzi Omar Artan atalipwa Posho yote ya Kombe la Dunia, licha ya kunyimwa Visa ya Marekani

    Huwezi kusema maaumuzi ya kijinga ya Marekani. Kuingia nchi ya watu ni wenye nchi watake na hakuna mtu wa kuhoji. Hata hapa Tanzania watu wengi tu walishazuiwa mipakani kuingia nchini.Kama ungekuwa msafiri sana wa nje ungelijua hili ni la kawaida maelfu ya watu hurudishiwa airport tena wakiwa...
  9. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Mwamuzi Omar Artan atalipwa Posho yote ya Kombe la Dunia, licha ya kunyimwa Visa ya Marekani

    Lakini bado FIFA wapo juu ya hilo, wangeweza kubadilisha vituo vya marefa.
  10. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Mwamuzi Omar Artan atalipwa Posho yote ya Kombe la Dunia, licha ya kunyimwa Visa ya Marekani

    Labda mimi ndio sielewi, kwa nini asinge badilishiwa kituo cha Canada au Mexico?
  11. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Timu ya taifa ya England imepata pigo kubwa kwa kuibiwa vifaa kabla ya mechi yao ya kwanza ya Kombe la Dunia

    Hao England Hawakuangalia Movie ya Eddie Murphy "Coming to America" wangejifunza
  12. Mchizi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwigizaji Mzee Onyango afariki dunia

  13. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Ni uzembe au kutapatapa kama siyo kutengwa ziara ya Samia Urusi kupigwa mabomu na Ukraine?

    Zelensky vipi tena huna shabaha , hivi sasa ungekuwa hero wetu
  14. Mchizi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Mwanadada Gaidi R.I.P
Back
Top Bottom