No, Mwalimu likuwa sahihi. Kwa ubinafsi tunaouona kwa viongozi wa miaka hii, kama hawa ndio wangeanza kutawala wao basi ardhi yote nchi hii huenda ingekuwa inamilikiwa na familia 2 au 3 za viongozi, na wananchi waliobaki wangebaki kuwa wapangaji .
Haya mambo yamekuwa yakijirudia rudia , ilitokea Ilala miaka ya nyuma, kisha la mwalimu wa Kibasila Mwalimu wa Kibasila aishi na kinyesi chumbani kwake kwa miaka miwili
Wewe ulitaka sababu ya kujenga na si nani anateseka zaidi. Maana yake ndio sehemu zenye maeneo nafuu kwa uwezo walionao. Na kama hoja ni milimani basi jaribu kuizunguka dunia uone nchi nyingi n nyumba zimetapakaa milimani, kama Rio De jeneiro brazil, Norway pia labda tu tofauti Norway ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.