Recent content by Mchizi

  1. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    Dalali kazini akitafuta mafekeche
  2. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Mbowe amtembelea na kumfariji Rais Samia kufuatia kufiwa na mume wake

    Dalali kazini
  3. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Ni Mkoloni huyo wa Wagosi wa kaya ametimiza ahadi yake ya kumzaba vibao Trafiki
  4. Mchizi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Mtoa roho kakosea step, kaambiwa mwingine kachukua mwingine.
  5. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo adai kupokea vitisho kutoka kwa Mwigulu

    Acha babeli ianguke
  6. Mchizi

    JamiiForums Tanzania NDUGU ZETU WALIO TOKA SAUZI

    Kumbe mlikuwa mnaishi kwa amani na utulivu ila hawa ndio wanaowatia hofu? Kumbe wale nwasiojulikana na wale panya road nao walitoka south
  7. Mchizi

    JamiiForums Tanzania VETA yatangaza mpango wa kuzalisha simu brand name 'Ujuzi pro

    Kupata vichekesho hivi na vinginevyo unabonyeza ngapi?
  8. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Mbunge ashauri Chama Cha Mapinduzi kumpitisha Dkt Samia kama mgombea wa uraisi 2030

    Akina atake asitake wameshaanza . Hapa mtoa roho lazima asepe na mtu kala ya hiyo 2030
  9. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Afunga Wi-Fi ya Bure Usiku Kupata Ulinzi wa Vijana Bila Gharama

    Subiri wahalifu wa mtandaoni watumie internet yake kuhack server za mabenki ndio atajua umuhimu wa kulinda internet yako situmike hovyohovyo na strangers. Tena huko Africa Magharibi walivyo wataalamu wa wizi mtandaoni atapata jibu lake
  10. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Vipimo vya DNA vyazua mjadala nchini Malawi.

    Wazushi hao wameona vifaa vyao vya kupima DNA vinakosa wateja wa kupima wapate pesa wanaamua kuzusha taharuki
  11. Mchizi

    JamiiForums Tanzania YouTube kwisha Habari yake imepata mpinzani balaa

    Yeah, OS yake ilifikia wapi kuiondoa sokoni Android?
  12. Mchizi

    JamiiForums Tanzania YouTube kwisha Habari yake imepata mpinzani balaa

    Yule mpinzani wa Android lifikia wapi?
  13. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: Nimewasilisha Hoja ya kulitaka Bunge liazimie Serikali iwasilishe ramani ya mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya

    Hivi kwa yanyoendelea hapa nchini unadhani haya manduli ya CCM yapo tayari kwa katiba mpya bila kumwaga damu?
  14. Mchizi

    JamiiForums Tanzania Chengdu: Moja ya miji ya kisasa zaidi duniani

    Unaiona dalili ya huyu mama kuachia madaraka 2030 ? Utasikia awamu yake ilianza 2025 ile 2021 watasema haikuwa yake alimalizia ya Magufuri
Back
Top Bottom