Hizi ndege walitangaza huenda wangesitisha uzalishaji wake mwaka 2021 kutokana na soko lake kuwa gumu.Zilikuja kui challenge boeing 747 ambao nao walikuwa wasitishe uzalishaji wake by 2022 https://www.aeroflap.com.br/en/production-of-the-airbus-a380-may-end-before-the-boeing-747/
Mwanza ilikuwa zamani ndio maji machafu ya mji yalikuwa yanaingia moja kwa moja ziwani ila mwaka 2000 EU walitoa msaada wa ufadhili wa huo mradi hivyo maji yote ya sewege kabla ya kuingia zwani yanafanyiwa treatment kule Ilemela saba saba kuna mabwawa yanayopokea hayo maji machafu...
Huwezi kusema maaumuzi ya kijinga ya Marekani. Kuingia nchi ya watu ni wenye nchi watake na hakuna mtu wa kuhoji. Hata hapa Tanzania watu wengi tu walishazuiwa mipakani kuingia nchini.Kama ungekuwa msafiri sana wa nje ungelijua hili ni la kawaida maelfu ya watu hurudishiwa airport tena wakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.