Dodoma hakuna mtaa unaitwa manzese acha kutudanganya.
Hiyo kariakoo ya Dodoma unayosemea sio mtaa ni sehemu ya biashara ya mtu binafsi ambapo kuna maduka mengi ndo akapaita kariakoo kwa sababu zake binafsi za kibiashara.
Halafu kama ulikua hujui Chang'ombe ya Dodoma ndo ilianza ndo ikaja ya Dar
Acheni kukashfiana dini hizi dini mmeletewa tu na wageni, hizi dini zinazofanya mtoleane maneno makali ni vitu vya kufikirika tu hakuna uhalisia wowote.
Kila mtu abaki na imani yake hata kama anaabudu kiatu, ndivyo imani yake inavyomtuma
Na mmoja akitoa tamko sio lazima na mwingine atoe, sio...
Uchungaji wa Msigwa ni cheo tu ambapo hata ukiacha kazi ya kuhudumia kanisa bado utaitwa mchungaji, mfano Mwl Nyerere mpaka anakua raisi bado anaitwa Mwalimu wakati kazi ya ualimu alishaiacha
PC yangu niliiangusha sasa hivi nikiiwasha inastart wakati inaload ili iwake kabisa inastuck haindelei ili iwake kabisa inabaki na black screen lakini nikiizima halafu niiwashe tena ndo inakubali kuwaka vizuri, sasa tatizo inaweza ikawa nini na solution yake ni nini?
Kweli nimeamini lemutuz ni babu maana Ronald Reagan alitawala marekani Kati ya mwaka 1981 to 1989 zaidi ya miaka 30 iliyopita ingawa amejaribu kuficha miaka kwenye story yake ila tumejua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.