Recent content by mchillo

  1. mchillo

    Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

    Kuwalinganisha wahuni Taliban wanaopigana kwa kuvizia na US ARMY ni udhaifu wa mfumo wa kufikiri! Marekani ni next level! Taleban hawezi kuwa contest hata Pakistani.
  2. mchillo

    Sita wasomewa mashtaka ya mauaji ya Milembe Seleman aliyekuwa Afisa wa GGM, akiwemo aliyekuwa "mkewe"

    Ukiona hivyo wanaotarajiwa kuwasaka wauaji ndiyo wahusika wenyewe! Watajipelelezaje? Katika shambulizi lile Serikali ndiyo Mtuhumiwa Mkuu. Ndiyo maana ilikataa kuunda Tume Huru au kuitwa Wachunguzi wa Kimataifa. Haitachukua wiki moja kukamilisha uchunguzi endapo Polisi ya Kimataifa au Tume Huru...
  3. mchillo

    Freeman Mbowe ujue jinai haina mwisho

    Ndoto za mchana baada ya kuvimbiwa Dona la Mama Lishe! Subirini muda wenu ufike mbwa nyie. Tutawakusanya na kuwawajibisha bila kupepesa macho. Mmehangaika na Mbowe mwaka mzima mmeshindwa. Hamna ushahidi hata wa kuokoteza mmeshindwa.
  4. mchillo

    Simba waipiga Spana Yanga Instagram kwa kutumia logo ya Ligi ya Mabingwa Afrika

    Yanga Waelimishwe hii logo ya CAF inatumiwa tu na timu shiriki za Champions League si vinginevyo. Tunaona wakijikoki kuposti na nembo hii. Ni kosa.
  5. mchillo

    Baada ya Kauli ya Rais Samia, Waliomtukana Dkt. Bashiru wamuombe radhi

    Mimi si CCM kuna mambo ya Rais Samia nimeyapenda lakini si hili la sifa za kihunihuni! Nilikuwa namshangaa Rais kutozishtukia hekaheka za machawa wakimwagia sifa hata pasipostahili. Sifa za bandia za kusaka teuzi mbalimbali. Sifa za namna ile ni za kumdhalilisha mhusika, kumfanya mjinga!
  6. mchillo

    Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze

    Bilioni 7 zingeweza kujenga daraja la zege, la kudumu na chenchi kubaki kwa maendeleo mengine! Hilo ni daraja la muda ambalo life span yake haitazidi miaka 25 kabla kudai matengenezo!
  7. mchillo

    Mwanamke jela maisha kwa kumbaka mtoto wa kiume

    Ni ubakaji tu hata kama kivulana kilikuwa kikisimamisha! Hata umri wa miaka 12 unatosha kuelewa ulikuwa ubakaji. Umezungumzia tendo la makubaliano. Ni Makubaliano yepi yatakuwa halali kati ya kivulana cha miaka 12 na mtu mzima!
  8. mchillo

    Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

    Tuondolee upumbavu wako wa kuambukizwa. Kawadanganye wapumbavu wenzio wa CCM. Mbowe angefanya hivyo CCM kupitia Mahakama zenu za makada wenu za "maelekezo toka juu" angeshahukumiwa kunyongwa!
  9. mchillo

    Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

    CCM ni wazito sana kujifunza. Kumkamata, kumdhalilisha, kumtesa na kumfunga kiholela Mbowe ni moja ya makosa yatakayoigharimu CCM kwa miango kadhaa! CCM na serikali yao wamempa Mbowe umaarufu usiotarajiwa. Ujinga wa watu wachache ndani ya CCM umeigawa CCM, Umeligawa Taifa na kumjengea tashwira...
  10. mchillo

    Zitto: Hata kesi ya Mbowe ni jumba bovu kwa awamu ya 6. IFUTWE!

    Kesi ya kubumba ya Mbowe inaivua nguo serikali na kwa kweli ni hujuma dhidi ya utawala wake. Kesi hii imewaudhi mno na inawakera watanzania wote, wapinzani na wana CCM na inamweka Rais Samia katika mizani sawa na Fashisti Magufuli. Ni kesi inayoharibu tashwira ya Mahakama, Polisi na Majaji. Hoja...
  11. mchillo

    Waziri Magufuli apata PhD

    Ben Saanane alipotezwa na Magufuli kwa kuhoji PhD yake. Alikaribia kuweka hadharani udanganyifu alioufanya kuipata PhD ile. Magufuli alimuwahi!
  12. mchillo

    Watu wenye uwezo wa Ajabu Duniani

    Dikteta wetu aliuawa na dude alilolichukulia “poa”. Naona “nyungu” zilidunda. Bila shaka anaendelea kuvuna alichopanda. Anawashuhudia aliowadhulumu uhai wakifarijiwa, anapiga kelele kuwaomba msaada, ukuta wa Jehanum unameza sauti yake.
  13. mchillo

    Watu wenye uwezo wa Ajabu Duniani

    Zile zilikuwa “fix” zake tu, tena alikuwa chizi! Katika nchi makini angeshtukiwa asingepata nafasi ya kugombea u Rais!
  14. mchillo

    Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

    Katiba inamtambua Rais Rais peke yake!Wengine wanajifurahisha tu! Hata Rais anaweza kufutiwa kinga na kushtakiwa!
  15. mchillo

    Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

    Ulaghai wa CCM huo! Tumeuzowea. Kawatibulia mipango yenu ya kumuua, mnaweweseka!
Back
Top Bottom