Titans
JF-Expert Member
- Dec 31, 2010
- 1,459
- 3,366
Kivuko?Hata yeye akistaafu katiba haimlindi kwa makosa aliyoyafanya kabla hajawa Raisi.
Kivuko?Hata yeye akistaafu katiba haimlindi kwa makosa aliyoyafanya kabla hajawa Raisi.
DRC wagonbea urais ni 120!tena hao ni rasmi. wamepitishwa na NECKuondolewa kwa shria hii Fisadi, pia kutasaidia kupunguza idadi ya Wagombea urais ambayo wakati wa kinyam]ng'ang'anyioro cha kwenda kugombe Urasi huwa kunakuwa na orodha ndefu ya watu wanaotaka kuwa Marais maana wanajua fika kuwa wakipata nafasi hiyo Ufisadi wao hautakumbukwa milele. Hii itatusaidia kuwa na Wagombea safi na wnaojiamini kuwa ni Waadilifu na ni safi.
Kwahiyo waendelee tu kuwa na kinga ili wapate moyo wa kuachia madaraka?DRC wagonbea urais ni 120!tena hao ni rasmi.wamepitishwa na nec
Wakati mwingine mnaweza kujikuta mnazalisha Rais anaeogopa kuachia madaraka kwa kuogopa kushitakiwa akistaafu
Marais na ni binadamu,tuwaunge mkono na kuwadhibiti kwa kutumia bunge
Nisome vizuriKwahiyo waendelee tu kuwa na kinga ili wapate moyo wa kuachia madaraka?
Hua marais hawawazi hayo mambo mpaka "LA MGAMBO LINAPOLIA".
Mfano, Rais wa Sudan, Omar Al Bashir alivyomwagwa kimapinduzi, then akavishwa bangiri mkononi na kuwekwa ndani kama mwari, halafu sinema haikuishia hapo maana hivi karibuni anapelekwa ICC (Mahakama Ya Kimataifa Ya Makosa Ya Jinai).
Ha haha, wapambe wake watakuja na majibu yao yatakuwa na mwelekeo kuwa yeye haondoki pale kwani ndio amefika.
Ila ni yeye mwenyewe alisema kuwa kama uhakika upo kuwa mtu kakamatwa na kosa (let say meno ya tembo au utakatishaji) basi wakili akijitokeza kumtetea kwa nini asiunganishwe naye kesi moja?
Hivyo atakaye jitokeza kumtetea ni bora naye atuambie tumuunganishe kwenye kosa la kuvunja katiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu Ben/Azory/Kanguye wame disappear and died simple tu na hakuna uchunguzi wowote...ICC is watching.
Uzuri ni kuwa waliopitisha sheria hizo kwa kishindo na jeuri kubwa licha ya kuonywa na waliowaita wakwamisha maendeleo,umfumo umekataa na kuwatema.Hivyo wanajuta mioyoni mwao na wasijue lakufanya.Katika nchi yetu kuna sheria za ajabu sana, mojawapo ni hii ya kumlinda Rais Mstaafu kutokana na makosa aliyoyafanya akiwa Rais. Habari juu ya Ufisadi uliofanyika katika awamu ya tatu ya Uongozi wa nchi yetu ni dira tosha ya kutufanya tufikirie upya juu ya Kinga ya Rais Mstaafu ya kutoshitakiwa...