Recent content by Mcheza Viduku

  1. Mcheza Viduku

    Mwenye soft copy ya riwaya ya mkimbizi

    Kwenye hard copy kiliendelea na mwisho Tigga aliolewa na John Vata, hata ukisoma kwenye MTAFITI wamo John Vata na mkewe Tigga Mumba
  2. Mcheza Viduku

    Safari yangu ya Mji Mwema ikageuka kuwa ya mateso

    Tuliokulia huku madongo poromoka tutasema ulikanyaga kale ka mdudu, inasemwa eti kuna kadudu flani ukikakanyaga hata kama uko nje ya nyumba utajiona upo mazingira mengine kabisa
  3. Mcheza Viduku

    Unapofunga ni Lazima Ujaribiwe na Shetani ndivyo ilivyokuwa kwa Yesu kule Mlimani

    Sasa hawa wavaa kobazi mbona huwa wanaogopa kujaribiwa na bwana shetani ndio maana baadhi ya maeneo wanapiga marufuku kula hadharani kwa mtu ambae hajafunga
  4. Mcheza Viduku

    Kushika sana dini kunaweza kukupeleka kubaya. Rafiki yangu aliacha kazi ya Ualimu baada ya Mkuu wa Shule kumtaka anyoe ndevu

    Wenzenu wanataka ilimu akhera sasa nyie mnawalazimisha kwenye ilimu dunia [emoji28][emoji28]
  5. Mcheza Viduku

    Ushindi dhidi ya Waarabu na Ushindi kwa Galaxy upi una thamani kubwa?

    Wewe si ndio ulisema kuwa Simba ikishinda ulawitiwe kwa hiyari yako.......ooooh sore, upigwe ban kwa hiyari yako
  6. Mcheza Viduku

    Mambo 10 niliyoyaona leo Al Ahly vs Yanga

    Mbona yamefika 15 sasa
  7. Mcheza Viduku

    Unatakiwa ufanye hivi, unapokutana na simba uso kwa uso

    Kuna mjinga mwingine aliniambia eti ukishikwa na Mamba Ziwani/Mtoni kitu cha kukuokoa unatakiwa kumbinya machoni anakuachia haraka sana, sasa unajiuliza hapo una wenge la kukamatwa na dude kama lile halafu hapohapo una wenge la kurushiwa majini utapata hilo wazo la kumbonyeza jichoni kweli
  8. Mcheza Viduku

    Tathmini yangu ya maaandamano ya CHADEMA

    Hayakufanikiwa kwa sababu nadhani lengo la waanzisha maandamano lilikuwa ni kuona jeshi la polisi linayazuia ili wao waingie barabarani kwa nguvu halafu jeshi litumie nguvu kubwa kuyazuia na hatimae watu wapigwe na wengine kupata ulemavu kabisa ili tu wapate nafasi ya kusema na kuandikwa sana...
  9. Mcheza Viduku

    Vitabu nilivyosoma 2023

    Njoo chemba unipe ya bando nikupe Pdf ya story za Amata na za Patrick
  10. Mcheza Viduku

    App zinazotoa mikopo mitandaoni zina riba kubwa sana, ukichelewa rejesho wanatuma SMS kwa namba zote ulizowasiliana nazo

    Saa 6 unasikia tiruuuuuu.......Ka mlio ka meseji unaenda kuangalia unakutana na hii; NDG........TUNAKUOMBA ULIPE DENI LAKO ULILOKOPA TAREHE........UNAJIFANYA MJANJA KUTUKWEPA LAKINI TUNAKUHAKIKISHIA HIVI SASA HUNA PA KUKIMBILIA MAANA TUMEKODI MAKOMANDO 13 KUTOKA CUBA NA ISRAEL WATAKAOKUSAKA...
  11. Mcheza Viduku

    Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa huwa nani?

    Mkuu mi nimeuliza tu bila kuwa hisia zozote anaweza kuwa nani
  12. Mcheza Viduku

    Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa huwa nani?

    Kwani wao wana shida gani na hilo
Back
Top Bottom