WASUKUMA ni kabila kubwa sana na limezungukwa na makabila mengi ambayo ni watani zetu wa jadi japo vijana wengi wa siku hizi hawajui hayo mambo ya utani wa jadi wao wanatembea na upepo unakovumia tu.
Huo ni mpango wa uwepo wako na uliokuwapo kabla ya kutungwa hata mimba yako, mada iishie hapo tuongelee mechi ya Simba sasa au kama sio mwanamichezo njoo tuzungumzie siasa na wanasiasa, kama na uko haupo basi tuongelee hata muziki, nikisema muziki namaanisha muziki na sio huu uhuni wenu wa siku hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.