Tuliokulia huku madongo poromoka tutasema ulikanyaga kale ka mdudu, inasemwa eti kuna kadudu flani ukikakanyaga hata kama uko nje ya nyumba utajiona upo mazingira mengine kabisa
Sasa hawa wavaa kobazi mbona huwa wanaogopa kujaribiwa na bwana shetani ndio maana baadhi ya maeneo wanapiga marufuku kula hadharani kwa mtu ambae hajafunga
Kuna mjinga mwingine aliniambia eti ukishikwa na Mamba Ziwani/Mtoni kitu cha kukuokoa unatakiwa kumbinya machoni anakuachia haraka sana, sasa unajiuliza hapo una wenge la kukamatwa na dude kama lile halafu hapohapo una wenge la kurushiwa majini utapata hilo wazo la kumbonyeza jichoni kweli
Hayakufanikiwa kwa sababu nadhani lengo la waanzisha maandamano lilikuwa ni kuona jeshi la polisi linayazuia ili wao waingie barabarani kwa nguvu halafu jeshi litumie nguvu kubwa kuyazuia na hatimae watu wapigwe na wengine kupata ulemavu kabisa ili tu wapate nafasi ya kusema na kuandikwa sana...
Saa 6 unasikia tiruuuuuu.......Ka mlio ka meseji unaenda kuangalia unakutana na hii;
NDG........TUNAKUOMBA ULIPE DENI LAKO ULILOKOPA TAREHE........UNAJIFANYA MJANJA KUTUKWEPA LAKINI TUNAKUHAKIKISHIA HIVI SASA HUNA PA KUKIMBILIA MAANA TUMEKODI MAKOMANDO 13 KUTOKA CUBA NA ISRAEL WATAKAOKUSAKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.