Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,862
- 8,511
Mtu akishakubali mwenyewe hiyo mizimu haiwezi kumzuiaSio kila mtu anaweza pata huu utajiri
Kuna wengine mizimu yao haikubaliani na hzo mambo
Mtu akishakubali mwenyewe hiyo mizimu haiwezi kumzuiaSio kila mtu anaweza pata huu utajiri
Kuna wengine mizimu yao haikubaliani na hzo mambo
NawezaMzee unaweza kutembea na Ute matakon 24hrs, kama unaweza nichek nikuunganishe, hii Haina kutoa kafara.
DahNaweza
Mkuu una uhakika na hili? Mfano Mimi Nina mizimu ya kimakonde, naenda kutafuta utajiri kwa mtaalam mwenye mizimu ya kinyaturu, hapo Inawezekana kweli kwamba mizimu yangu watakubali kwamba waniachie kwamba alimradi nimekubali mwenyewe bila kulazimishwa.......na mtu wa namna hio anaweza kweli kufanikiwa kupitia mizimu ya makabila mengine ilihali yeye ni WA kabila tofautMtu akishakubali mwenyewe hiyo mizimu haiwezi kumzuia
Swali lako kama lina ka mantiki flani hiviMkuu una uhakika na hili? Mfano Mimi Nina mizimu ya kimakonde, naenda kutafuta utajiri kwa mtaalam mwenye mizimu ya kinyaturu, hapo Inawezekana kweli kwamba mizimu yangu watakubali kwamba waniachie kwamba alimradi nimekubali mwenyewe bila kulazimishwa.......na mtu wa namna hio anaweza kweli kufanikiwa kupitia mizimu ya makabila mengine ilihali yeye ni WA kabila tofaut
Muone chief godlovehivi nikweli utajiri wa aina hii upo..? mbona nimeutafuta sana siupati.?
Nahitaji kufanikiwa ndani yamuda mfupi tu. mwenye hizo connection nitamshukuru sana akinipa muongozo wakufanikisha hilo jambo. umasikini mateso sana
NATAKA PESA ZACHAP CHAP
Unaelewa nini kuhusu neno "kafara."Mzee unaweza kutembea na Ute matakon 24hrs, kama unaweza nichek nikuunganishe, hii Haina kutoa kafara.
Nenda Pemba, Zanzibar, India, Israel au hapa kwetu Tanga na Mombasa, utafanikiwa tu.hivi nikweli utajiri wa aina hii upo..? mbona nimeutafuta sana siupati.?
Nahitaji kufanikiwa ndani yamuda mfupi tu. mwenye hizo connection nitamshukuru sana akinipa muongozo wakufanikisha hilo jambo. umasikini mateso sana
NATAKA PESA ZACHAP CHAP
Mkuu nitakupatajeMungu alimtoa mwanae wa pekee Yesu, Ibrahim Alikubali kumwaga ubongo mwanae Isaka.
Wewe upo tayari kupididiwa kwanza ndo "usakrifaizi"?
Kama upo tayari njoo Ibadakuli shinyanga, au malampaka maswa au mwandoya simiyu.
"Microscope" iwe waliotoa manabii wa kwenye biblia.
Karibu.
Mkuu nakupatajeUpo na hauna masharti mengi kama wengi Wanavyofikiri
Piga hii namba kama upo tayari 0678063140hivi nikweli utajiri wa aina hii upo..? mbona nimeutafuta sana siupati.?
Nahitaji kufanikiwa ndani yamuda mfupi tu. mwenye hizo connection nitamshukuru sana akinipa muongozo wakufanikisha hilo jambo. umasikini mateso sana
NATAKA PESA ZACHAP CHAP
Piga hii namba kama upo tayari 0678063140
Wachache kama Mimi tumekuelewa mkuu.Sio kila mtu anaweza pata huu utajiri
Kuna wengine mizimu yao haikubaliani na hzo mambo
mkuu inaonekana unaelewa sana haya mambo. kama kuna chimbo naomba hio connection inboxWachache kama Mimi tumekuelewa mkuu.
shida sio kwenda kongo. unaenda kwanani..?Nenda kongo uhakika
Haya mambo magumu chief ..fikiria tena ..unatakiwa kua na roho flan ya kutojali Wala kua na huruma...mkuu inaonekana unaelewa sana haya mambo. kama kuna chimbo naomba hio connection inbox
cheki PM yakoHaya mambo magumu chief ..fikiria tena ..unatakiwa kua na roho flan ya kutojali Wala kua na huruma...
naona umelock PM yako. naomba unicheki mkuu nahitaji tuzungumze kidogoHaya mambo magumu chief ..fikiria tena ..unatakiwa kua na roho flan ya kutojali Wala kua na huruma...