Recent content by Mcheza kamari

  1. Mcheza kamari

    Gwajima na Polepole, Chadema kesho CCM wanaanza kampeni rasmi

    Kipindi ana bifu na makonda.Alisema Makonda anahisi gwajiboy anataka agombee ubunge koromije,ambako ilisemekana Makonda alikua na mpango huo pia.Gwaji akasema yeye hawezi kuwa mbunge wala rais,yeye ni mtumishi wa Mungu.Kwasababu akifanya hivyo kwake ni "DEMOTION".Zingatia hilo neno DEMOTION...
  2. Mcheza kamari

    Kijana wa kiume ambae upo 30's mwanamke wa kuoa ni mwenye miaka 18-23

    Mapenzi yanachanganya sana,kuna kabinti kakali kinoma ka miaka 17-18 hivi.Kalikua na msela wake ndo alikatoa bikra,hawajapishana sana umri.wakati huohuo kakaanzisha mahusiano na mjomba wa age 36,ambaye ni jobless na life la kuungaunga.Mjomba alitongoza kiutani tu akijua hawezi kubaliwa ila ndo...
  3. Mcheza kamari

    Fikra za kujiua zimenitawala sana. Naomba msaada na ushauri

    Tukikusimulia ya kwetu tunayopitia mbona utajiona km ww huna tatizo.Tulifukuzwa kazi zenye pesa na hadhi ya juu.Tushapoteza millions of shilings tulizozipata kwa jasho na damu,mikopo n.k ila bado tunadunda tu ingawa hata kesho yetu haijulikani itakuaje.
  4. Mcheza kamari

    Ushawahi Kupendwa Mpaka Ukawa Unahisi Kero?

    Demu anapiga simu usiku saa 8 nimelala analeta mahaba yake,Hizo mambo siwezi
  5. Mcheza kamari

    Binti yangu umri wa miaka 5 mbishi hataki kutumwa, kwenda shule asubuhi hataki

    Wakiwa na wenzake wanacheza jaribu kuwaita halafu watume wote wafanye kitu,wenzake/mwenzake akitekeleza mpe zawadi labda biscuits akiwa anaona ila yeye usimpe,kesho atajua kumbe ukitumwa ukikubali ni jambo zuri unapewa zawadi.Kuhusu shule fatilia nini kinamkwaza skuli.Binafsi kuna mtoto wa umri...
  6. Mcheza kamari

    Binti yangu umri wa miaka 5 mbishi hataki kutumwa, kwenda shule asubuhi hataki

    Nenda nae taratibu atakua sawa tu,kipigo utamuumiza bure.Kila mtoto anaulewa tofauti.pendelea kutoka nae mahali mnakaa unamnunulia tamtam huku unamuelekeza taratibu kiurafiki.Mpe mifano ya watoto wengine kama wapo au anaowafamu jinsi wanavyopenda shule,wanavyosalimia au wanavyotumwa na...
  7. Mcheza kamari

    Kwanini wadada Wanawapiga vibuti Wanaume wafupi na Wanene, Labda wawe na pesa nyingi sana

    Kuna manzi ilinishobokea kinoma ikanitongoza yenyewe kwa sms.kimo changu ni futi 5.8,wakati huohuo mshikaji wangu ni tall man halafu mbavu yani mzee wa tizi,pia mwana alikua na pay kunizidi.Kwanini demu alinikubali mimi na hakumshobokea mwana mwenye vigezo hivyo.Demu mwenyewe ni knife hatari
  8. Mcheza kamari

    Ndugu zangu wakatoliki, mliwafanyaje wasabato? Malizeni tofauti zenu.

    Sioni sababu ya wasabato kuwaponda wakatoliki ikiwa biblia wanayotumia ilimilikiwa na mapapa wakiroma miaka kibao.Ikumbukwe pia biblia hiyohiyo ipo translated kutoka katika lugha zilizokwisha kufa.
  9. Mcheza kamari

    Baadhi ya kina dada acheni hii tabia ya kuchukua vitu vya wenza wenu mnapowatembelea

    Mishangazi ndo Noma sasa wanabeba hotpot hadi mapazia wanayatamani
  10. Mcheza kamari

    Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

    Kwa tuliowahi kuishi pande hizo yote mawili yanawezekana.Kule watu hawalimi bila dawa.Niliwahi kulima karanga eka 2 nikapata debe 5
Back
Top Bottom