Kipindi ana bifu na makonda.Alisema Makonda anahisi gwajiboy anataka agombee ubunge koromije,ambako ilisemekana Makonda alikua na mpango huo pia.Gwaji akasema yeye hawezi kuwa mbunge wala rais,yeye ni mtumishi wa Mungu.Kwasababu akifanya hivyo kwake ni "DEMOTION".Zingatia hilo neno DEMOTION...
Mapenzi yanachanganya sana,kuna kabinti kakali kinoma ka miaka 17-18 hivi.Kalikua na msela wake ndo alikatoa bikra,hawajapishana sana umri.wakati huohuo kakaanzisha mahusiano na mjomba wa age 36,ambaye ni jobless na life la kuungaunga.Mjomba alitongoza kiutani tu akijua hawezi kubaliwa ila ndo...
Tukikusimulia ya kwetu tunayopitia mbona utajiona km ww huna tatizo.Tulifukuzwa kazi zenye pesa na hadhi ya juu.Tushapoteza millions of shilings tulizozipata kwa jasho na damu,mikopo n.k ila bado tunadunda tu ingawa hata kesho yetu haijulikani itakuaje.
Wakiwa na wenzake wanacheza jaribu kuwaita halafu watume wote wafanye kitu,wenzake/mwenzake akitekeleza mpe zawadi labda biscuits akiwa anaona ila yeye usimpe,kesho atajua kumbe ukitumwa ukikubali ni jambo zuri unapewa zawadi.Kuhusu shule fatilia nini kinamkwaza skuli.Binafsi kuna mtoto wa umri...
Nenda nae taratibu atakua sawa tu,kipigo utamuumiza bure.Kila mtoto anaulewa tofauti.pendelea kutoka nae mahali mnakaa unamnunulia tamtam huku unamuelekeza taratibu kiurafiki.Mpe mifano ya watoto wengine kama wapo au anaowafamu jinsi wanavyopenda shule,wanavyosalimia au wanavyotumwa na...
Kuna manzi ilinishobokea kinoma ikanitongoza yenyewe kwa sms.kimo changu ni futi 5.8,wakati huohuo mshikaji wangu ni tall man halafu mbavu yani mzee wa tizi,pia mwana alikua na pay kunizidi.Kwanini demu alinikubali mimi na hakumshobokea mwana mwenye vigezo hivyo.Demu mwenyewe ni knife hatari
Sioni sababu ya wasabato kuwaponda wakatoliki ikiwa biblia wanayotumia ilimilikiwa na mapapa wakiroma miaka kibao.Ikumbukwe pia biblia hiyohiyo ipo translated kutoka katika lugha zilizokwisha kufa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.