Habari za siku mingi wanaJf ni muda sasa sikuwa naposti wala kukoment ila mara mojamoja nilikuwa napita kama msomaji hii ni kutokana na majukumu.
Nilibahatika kupata ajila taasisi moja hivi ila pia ni mjasiriamali ambaye nimewekeza kwenye stationery mbili kubwa tu ila imefika muda napenda...
ni muda mrefu sana nimekuwa nikifuatilia comment na post zake huyu member anayejiita Mbwa dume
Sio siri nimevutiwa sana natamani kumfahamu kiundani ikiwezekana awe rafiki yangu tu
Tumezoea watu wengi humu kudanganya kuhusu kazi zao wengi hujifanya wana elimu sana na wanabiashara za mamilioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.