Recent content by MCHAU G

  1. M

    Hivi huu ulikuwa ni uwongo tulioaminishwa tu au ni jambo la kweli?

    Inawezekana kuna kaukweli apa maana huwa nikiwa baadh ya maeneo ya vijiji vya kilimanja huwa kuna vitu vingi vya kenya huingiliana sana na kilimanjaro na pia nikiangalia mji wa Taveta kiuhalisia upo jirani kabisa na moshi kuliko ilipo Tarakea hivyo eneo la mlima lillichongwa na kuitwa Tanzania...
  2. M

    Msaada: Naomba kujulishwa ulipo ubalozi wa Jamaica Tanzania

    Nenda sehemu husika ukaulize mkuu
  3. M

    Taasisi ya dini inavyojipotezea heshima nchini Tanzania!

    Kuwa na adabu unapoongelea taasisi za dini hawa si wahuni wenzako kama mlivyo nyie ni bora ujifunze kujiheshimu maana hujafa hujaumbika na mungu alivyo wa ajabu utapigwa ata ugonjwa madaktari washindwe kba ujikute unaangukia kwa hao hao wenye dini tena
  4. M

    2018 -Kenyan economy now larger than Tanzania and Uganda combined

    Na bado mbumbu wanakurupuka tu na mambo uku daah
  5. M

    Kutoka Ikulu: Ushiriki wa sekta binafsi katika Tanzania ya viwanda, Mengi akosoa ukadiriaji kodi kandamizi wa TRA

    Kweli kick mbaya kwiyo lei kala matapishi yake aya bhn na tuone mengi yajayo maana yanasikitisha
  6. M

    Watumiaji wa mafuta ya Korie huenda wakayakosa hivi karibuni

    Labda mkuu hajawah kupima mafuta na wala hajui utofauti wa bei ya alizeti na korie madukani ndo maana akaamuru pasipo ata kuwazia.
  7. M

    Kutoka Ikulu: Ushiriki wa sekta binafsi katika Tanzania ya viwanda, Mengi akosoa ukadiriaji kodi kandamizi wa TRA

    Nadhani ni muda umefika tuige sera nzuri za kodi ka wenzetu rwanda walivyo maana leo TRA hawakagui tena hata wasiolipa maana wanaelew hali ya biashara mtaani ni tete na kodi ni chanzo halis cha kuua biashara leo hivyo wasipoamka mapema basi mapato yatakua ndo basi tena
  8. M

    Swali: Je ukikosa kufanya mapenzi unachanganyikiwa?!

    Amna ukweli apo sema tu ni adicted wa mchezo uyu
  9. M

    Bakhresa group punguzeni udini

    Ndo maana mo kamkaba koon saiz mafursana yake hayana ishu madukan ni mwendo wa mo tu.
  10. M

    Mkapa: Watasema nalalamika lakini na mimi ni raia nina haki

    Kwani uyu mzee na yeye si alikua mkuu mbona hamna jipya aliloleta kwenye iyo elimu ad aje aongelee leo. Huu nadhan ni unafiki tu amna lolote.
  11. M

    Rekodi mpya: Gunia la mahindi lafika 20,000/-

    Hii ni aibu ya taifa maana tumelima jmn ata kuuza tunafail ay bhna nchi ya viwanda mungu anawaona lkn.
  12. M

    Snoop Dogg ameachia album ya Gospel, hii ndio list aliyowashirikisha

    Poa na tuone kama anamaanisha maana shida si kuimba gospel ila shida ni kumaanisha kweli katika kumuabudu mungu.
  13. M

    Wazee wa CHADEMA kutaka kukutana na Rais Magufuli ina maana gani kwa wanachama wengine?

    We ni katiba ipi ya nchi unayosemea au ni ya mqgogoni labda ndo tujue maana sjaona katiba yoyote inayoongoza nchi kwa sasa zaidi ya akili za kina juha na nduguze
Back
Top Bottom