Recent content by mchatts

  1. mchatts

    Tigo acheni wizi wa salio la wateja na kuwaunganisha kiuwizi huduma zenu ila mlambe salio!

    Hawa watu ni wezi sana naona huu ndio utaratibu wao wa kujiongezea mapato. TCRA malalamiko dhidi ya hawa watu yamezidi au hamuoni?
  2. mchatts

    nissan patrol sale/exchange

    Mkuu nitumie picha whatsapp 0718735540
  3. mchatts

    Jinsi ya kumkopa tena mtu anaekudai

    Ngoja nije nikope kwako ili nijaribu hii janjajanja
  4. mchatts

    Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

    Kwaheri mkuu ila naona hata kule huonekani au nako uliaga?
  5. mchatts

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Vipi kama simu ina salio unajiungaje au ni lazima ununue vocha na kukwangua?
  6. mchatts

    Plot for sale mill 2

    Kimepimwa na ni cha ukubwa gani?
  7. mchatts

    Kiwanja kinauzwa

    Umbali gani toka eneo la uwanja mpya wa ndege
  8. mchatts

    Mtatiro: Wanaume wa Dar tumejawa na uoga na ubinafsi

    Wanaume wa buguruni mmetudhalilisha sana
  9. mchatts

    Mjue Mtoboaji macho, Salum Njwete (Scorpion) na watu wake

    Ngoja tufanye mkakati wa kufunga dojo lake
  10. mchatts

    Wataalam wa hesabu, nisaidieni

    Hapo hakuna jibu mkuu
  11. mchatts

    Yaya Toure analalamika nini? Sio kila siku yeye, Aubameyang naye anastahili tuzo, eboh!

    Tatizo la hizi tuzo wametumia vigezo vya 2016 kutoa tuzo za 2015
  12. mchatts

    Car4Sale Magari ya Nissan, Mazda yapo 5 yanauzwa bei chee

    Mkuu mazda na nissan ni magari mawili tofauti. Au ni mazda mlizofunga engine ya nissan?
Back
Top Bottom