navyofahamu mimi bila kuwa na principal pass mbili huwezi kwenda university. Huyo bwana yeye ana moja tu.kwahiyo kwa ushauri wangu ajaribu kufuatilia advance diploma au diploma.
wewe ni mmoja ya wale watu washamba, waliozaliwa kijijini, wakakulia kijijini,kusoma shule ya msingi na sekondari kijijini na advance mikoa ya nyanda za juu na kusini halafu ukabahatika kuchaguliwa na tcu udom, ndo unajiona mjanja kumbe hamnazo.
unajua hivi vyuo vya kidayosisi vina mapungufu sana katika kufuatilia pesa za wanafunzi. Wao kwasababu wanakula mipoki na mivyakula mingine free of charge ndio maana haifuatilii hela zetu, lakini kwa safari hii wakizifixed fedha zetu na sisi tutawakomesha. Sasa hivi hata dayosisi kuna magamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.