CC wanachuo wa Jordan vip tupeni pesa.Tulitangulia kufungua kabla ya UDSM lakini eti wamepewa.Au kwakuwa cc ni wapole basi tupeni pamoja na upole wetu.
he! hivi kuna chuo kikuu kinaitwa jordani hapa tz
Ndo hivi vya kata vilivyoanzishwa miaka hii ya 2000.
Bwana mchallo usipaniki, hicho chuo ni cha kata tu!! Huwezi kulinganisha na vyuo kama UDSM, SAUT( MWANZA), SUA, MZUMBE na vingine. Ila JORDAN??? ndo nini kwanza au ndo JORDAN UNIVERSITY?? Ata haiji kabisa. Bora ungeenda ZOOM TECHNICAL COLLAGE.