In auguration day of Stella Maris Mtwara University college(STEMMUCO)

Shule ni kwa ajili ya kusoma ili ultimately umma huu wa watz, ufaidike..hizo tambo zenu nyingine za majivuno ya kidini, kikabila na kikanda nikudhihiri tu kuwa watz wengi 'wamesoma' lakini hawajaelimika na hivyo hawawezi kulisaidia taifa. ushahidi upo wazi.
 
Sasa St Augustine university of Tanzania ndicho chuo kikuu chenye matawi mengi zaidi kama ifuatavyo:
mtwara,iringa(rucco) bugando(medicine), songea, bukoba, moshi, morogoro mjini na ifakara(medicine)
- Pia ndicho chuo chenye wanafunzi wengi zaidi jumla yao wakifikia 27000 ikifuatiwa na udom 21000.

umesahau branch ya Tabora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom