Apology for getting ur hopes up but the guy contacted me n said they had small problems but whatever the case they،ll release them 2mmorow! All the best kwa wausika
Huyu anawadanganya NECTA ya siku hizi haina waropokajiI contacted one of NECTA's IT personnel anasema instructions walizopewa ni kuwa they should release them on 26th which is thursday!! So kesho kutwa vijana mjiandae kuvuna mlivyopanda,kama ulipanda maboga usisubiri machungwa!! Kesho kutwa m-tune TBC watatangaza b4 releasing them!
Apology for getting ur hopes up but the guy contacted me n said they had small problems but whatever the case they،ll release them 2mmorow! All the best kwa wausika
Kwa 95% yanaweza kuachiwa hewani tar.30. Sijui kwanini yamecheleweshwa sana mwaka huu...
hayajacheleweshwa mkuu,,, kwa experience yangu,huwa yanatoka kuanzia 1st may,,,
Kwa taarifa za uhakika toka kwa mama ndalichako,matokeo ni tar 30/april kabla ya saa 10 jioni..waliokua wanachukua michepuo ya arts na biashara inasemekana wameharibu sana,tanzania one ni demu anatoka marian girls mchepuo wa Pcm.ukitaka maelezo zaidi ni PM.over
Kwa taarifa za uhakika toka kwa mama ndalichako,matokeo ni tar 30/april kabla ya saa 10 jioni..waliokua wanachukua michepuo ya arts na biashara inasemekana wameharibu sana,tanzania one ni demu anatoka marian girls mchepuo wa Pcm.ukitaka maelezo zaidi ni PM.over
Hapo kwenye red......Ukumbuke kurejea hapa kuomba radhi kwa kuwadanganya wadanganyika mara yatakapotangazwa.....
Sawa Ndalichako!nina uhakika na nilichokiandika.over
nina uhakika na nilichokiandika.over
wewe unafikiri kila mtu kiazi kama wewe!,
Acheni kuleta utoto kwenye jukwaa la elimu.Pelekeni utoto wenu kule facebook.
nina uhakika na nilichokiandika.over