Recent content by Mchalinze

  1. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Nipeni ushauri, nataka kufanya biashara ya daladala. Wazoefu naomba ushauri

    Kuna jamaa hapa kwenye panton anamwambia mwenzake eti kununua daladala ni sawa na kupanda mbegu kwenye miiba
  2. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Labda ajikamate mwenyewe
  3. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Hiyo ni kesi ya ukeketaji afu ngariba ni diwani wa kata kwenye kijiji
  4. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Chadema kitengo cha mawasiliano ya umma kinapwaya sana

    Aliyekuwa anatoa update za mahakamani polisi wamemshtukia kwahyo kazuiwa kuingia
  5. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia anazindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa wahusika wa ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

    Kwahyo hapa inawezekana ile kesi yake akashinda then akapewa kesi hii ili aendelee kukaa kule mpaka mda wake wa uongozi(uenyekiti wa chama) uishe ndo wamtoe?
  6. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia anazindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa wahusika wa ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

    Wahusika si tayari wameshafariki wameuliwa kwenye zile ghasia?
  7. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    Walokole ndo wanapenda kupiga picha ya pamoja kama wapo kanisani
  8. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    Wanaonekana ni walokole hao
  9. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Kwani kazi ya mahakama ni nini ndugu?
  10. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Ndo wayatupe mtaroni magunia?
  11. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Kuna nchi fulani sikumbuki ni ipi rais wake aliamuru vifaranga vichomwe moto
  12. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    Harusi ya kikristo au kiislamu kwanza?
  13. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Ni member gani mwana CCM angalau anakubalika kwa michango yake hapa JF bila kuegemea Upande?

    Baba Swalehe na Detective J
  14. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Dhahabu yafumuka Dar, Vijana wahini maduara.. Katoro msije

    Ngoja serikali ije kulichukua eneo
Back
Top Bottom