Safari hii tutakuwa na mabango na tumekubaliana hatutoharibu mali kwahyo tutarajie magari ya kuwasha na mabomu ya machozi kuwa mengi na watatupiga sana virungu badala ya risasi za moto
Hili swala ya Tanganyika na Zanzibar ziliungana then ikazaliwa Tanzania afu bado Zanzibar inatambulika ina rais wake ila Tanganyika haina rais kwangu mimi binafsi haijakaa sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.