Recent content by Mchalinze

  1. Mchalinze

    Matukio yanayojiri Siku ya Uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2025: Hali yaonekana kuwa shwari maeneo mengi nchini

    Ni kweli kabisa uliyoyasema,wao ndo watakuwa wapiga picha awamu hii ili wawe na ushahidi wao
  2. Mchalinze

    PostGE2025 Baada ya marufuku ya maandamano ya D9 tutarajie nini? Nani wako interested kukaidi amri hiyo? Vipi mbinu?

    Kuna mtu leo alikuita Pakome Zwazwa nikajua kakuvunjia heshima kumbe unajivunjia mwenyewe heshima
  3. Mchalinze

    PostGE2025 Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya 9 December 2025

    Polisi mmejuaje kama tarehe 9 kuna maandamano?
  4. Mchalinze

    PostGE2025 Kama kweli Serikali imedhamiria pasiwe na maandamano D9 njia bora ni kupiga marufuku ya kutoka Siku hiyo kwa masaa muhimu

    Siku zote Nguvu haijawahi kuishinda Akili. Isipokuwa Wenye Akili huwatumia Wenye nguvu
  5. Mchalinze

    PostGE2025 Polisi Rufiji: Tumemkamata Winfrida Charles kwa kuhamasisha maandamno ya Desemba 9, hajatekwa

    Mda wote mlikuwa mmekaa kimya mpaka watu wamesema ametekwa ndo mnajitokeza
  6. Mchalinze

    Huyu member yuko wapi? JohnTheBaptist

    Huyu kweli nae hajaonekana mda sana humu
  7. Mchalinze

    TANZIA Wakili Beatus Linda, aliyekuwa akiwatetea watuhumiwa 93 waliokamatwa kipindi cha Uchaguzi mkoani Mwanza afariki ghafla

    Watu kama hawa ndo majina yao yawekwe kwenye mabarabara ili vizazi vijavyo vipate kuwakumbuka
  8. Mchalinze

    Siwauzii woga, ila ni tahadhali

    Safari hii tutakuwa na mabango na tumekubaliana hatutoharibu mali kwahyo tutarajie magari ya kuwasha na mabomu ya machozi kuwa mengi na watatupiga sana virungu badala ya risasi za moto
  9. Mchalinze

    PostGE2025 Amani ndio haki mama ya kila raia

    Amani ni mtoto wa tatu, wa kwanza HAKI na wa pili ni UWAJIBIKAJI
  10. Mchalinze

    PostGE2025 Muungano uvunjwe au Tanganyika iwe na Serikali yake pia kama Zanzibar hutasikia chokochoko, tofauti na hapo tujiandae kwa vita nyingi sana

    Hili swala ya Tanganyika na Zanzibar ziliungana then ikazaliwa Tanzania afu bado Zanzibar inatambulika ina rais wake ila Tanganyika haina rais kwangu mimi binafsi haijakaa sawa
Back
Top Bottom