Recent content by Mchalinze

  1. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya Vijibweni pokeeni maua yenu

    Salamu ndugu zangu, Nakumbuka kuna siku nilileta bandiko linalohusu kuomba ambulance kwa ajili ya kumpakia mke wangu endapo angepata changamoto usiku, japo sikupewa ila nashukuru Mungu uchungu ulimpata mchana kwa hiyo ilikuwa rahisi kupata usafiri kwa kumfikisha hospitali, Vijibweni kwa upande...
  2. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi, Tumuoneeni huruma kiongozi wetu

    Hili swali huwa linakwepwa kama wanaaga maiti
  3. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Mbinu gani naweza kutumia kumkamata huyu tapeli?

    Hii kazi ya kumkamata huyo mbona hata mimi kama naweza kuifanya?, enewei hiyo namba yake inaonesha imesajiliwa kwa jina gani? Na ukiicheki kwenye truecalller inaonesha jina gani?
  4. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    Bado mda ila madaktari wamesema siku yoyote nijiandae ndo mana nilikuwa natafuta ambulance
  5. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    Lengo ni kuwa ikitokea usiku uchungu umempata nawapigia simu wanamfata na pia inakuwa rahisi kupatiwa huduma kwenye gari
  6. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    Nilitaka kukodi kwa ajili ya kumtoa nyumbani kumleta hapo Vijibweni
  7. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    NImeshakodi ya private gentleman
  8. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    Ili ndo lilikuwa lengo langu
  9. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    Habari wana jukwaa, nina mgonjwa(mama mjamzito) mda wake wa kujifungua umekaribia na ninapokaa kuna umbali kidogo mpaka hospitali kwa hofu ya kuhofia asije akapata uchungu usiku ikanibidi niende hospitali ya Vijibweni(Kigamboni) kwenda kuongea nao walau niweze kukodisha ambulance ili mda ukifika...
  10. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu awakemea Gen Z wanaotukana Mahakama na Majaji

    We jamaa majaji kutukanwa imekuuma sana kuliko watu kutekwa?
  11. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania KERO Wanausalama wa Katavi hatukulipwa fedha zetu za Uchaguzi, Mwigulu alivyopita tulizuiwa kuzungumza

    Kwa upande wangu nimefurahi sana nikiona mnalalamika kama hivi
  12. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania Matukio yanayojiri Siku ya Uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2025: Hali yaonekana kuwa shwari maeneo mengi nchini

    Ni kweli kabisa uliyoyasema,wao ndo watakuwa wapiga picha awamu hii ili wawe na ushahidi wao
  13. Mchalinze

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baada ya marufuku ya maandamano ya D9 tutarajie nini? Nani wako interested kukaidi amri hiyo? Vipi mbinu?

    Kuna mtu leo alikuita Pakome Zwazwa nikajua kakuvunjia heshima kumbe unajivunjia mwenyewe heshima
Back
Top Bottom